Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnyika amtetea Dk Slaa, amfananisha na mkasa wa Samson, Delilah

Mgombea ubunge wa Jimbo la Kibamba kwa tiketi ya Chadema ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), John Mnyika amewataka wanachama waache kumkebehi au kumkashfu Dk Willibrod Slaa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

MKASA:Amanda asimulia mkasa wakufiwa na mchumba wake ghafla na kumuachia mimba lakini mtoto akafia tumboni

"....Kwenye hii dunia ukizaliwa mpaka unakufa lazima kuna mitihani binaadam utaipitia ,toka nimezaliwa me Amanda mpaka leo hii nimepitia mitihani migumu sana ...lakini katika mitihani yooote hakuna mtihani unaokataa kuondoka ndani ya kichwa changu kama ule niliyowahi kufiwa na mchumba angu tena ghafla nusu saa baada ya kuongea nae na kuniachia mimba then mtoto akafia tumboni....

Kiukweli nilijifunza sana na ndio maana mpaka leo uwa naamini kila mwanamke ameumbwa kutoka kwenye ubavu wa...

 

11 years ago

IPPmedia

CCM in Slaa, Mnyika murder plot


IPPmedia
CCM in Slaa, Mnyika murder plot
IPPmedia
The major opposition party Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yesterday accused the ruling party CCM of designing a plot to harm some of its members by blowing up a helicopter in Shinyanga municipality back on January 27. The party's ...

 

11 years ago

Habarileo

Slaa, Mnyika wamkataa Diwani wa Chadema

KATIBU Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa na Katibu Mwenezi wake, John Mnyika wamemkataa diwani wa chama hicho wa Kata ya Majengo mjini Kahama Mkoa wa Shinyanga, Bobson Wambura, wakidai ni msaliti. Viongozi hao wa kitaifa, waliorodhesha tuhuma kadhaa dhidi ya diwani huyo za kuhalalisha kutotakiwa ndani ya chama kwenye mkutano wa hadhara mjini hapa.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Delilah Ft. Tunda Man — Kichuna

Wimbo mpya wa msanii Delilah amemshirikisha Tunda Man Studio Rubi Records Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Mwananchi

JK amfananisha Magufuli na 'tingatinga'

>Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Pombe Magufuli ameelezewa na watu mbalimbali kuwa ni mchapakazi, makini, asiyependa uvivu, lakini Rais Jakaya Kikwete amehitimisha yote kwa kumpachika jina la “tingatinga”.

 

9 years ago

StarTV

Peter Samson anaomba msaada 0754 57 26 59

Mkazi wa Mecco jijini Mwanza Peter Samson Majeuri anaomba msaada wa matibabu ya mkono baada ya mfupa wa ndani kuvunjika na kupoteza mfumo wa mawasiliano kati ya mkono na ubongo kutokana na ajali ya gari.

Peter anasumbuliwa na tatizo hilo kwa takriban miaka 16 hali iliyosababisha mkono wake wa kulia kuwekewa chuma.

Tatizo hilo limesababisha maisha yake kuwa magumu baada ya mke wake kumuona kama mzigo na kumkimbia akimwachia watoto sita.

Baba huyu mwenye familia ya  watoto sita amekuwa...

 

9 years ago

BBC

Nigeria U-23 coach Samson Siasia's mother free

The mother of Nigeria Under-23 coach Samson Siasia is released after being kidnapped by gunmen 12 days ago.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mamaake Samson Siasia atekwa nyara Nigeria

Wapiganaji wamemteka nyara mamaake aliyekuwa mchezaji wa Nigeria Samson Siasa.

 

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU AFUNGUA BARAZA LA PILI LA WATUMISHI WA TAASISI YA UHASIBU,PROFESA KAMZORA AMFANANISHA NA NYERERE

Mkutano wa Raraza la pili la Watumishi wa Taasisi ya Uhasibu likiendelea. Mwenyekiti wa Baraza la pili la Watumishi wa Taasisi ya Uhasibu Ndugu,Jairo akifafanua kazi za Baraza hilo katika Vyuo vya uhasibu Nchini.Naibu Waziri wa Fedha(S) Mh.Mwigulu Nchemba akizungumza na wajumbe wa Baraza hilo,Kubwa amesisitiza mfumo mpya wa uajiri wa watumishi wa Umma ambao utakidhi mahitaji ya wahadhiri vyuoni na hata kwenye Taasisi zingine,Taasisi za Elimu na fedha zingepewa mamlaka ya kuajiri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani