Diwani CHADEMA awashukia viongozi
MWENYEKITI wa Madiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Kinondoni, Boniface Jacob amewashukia baadhi ya viongozi wa manispaa hiyo na mkoa wa Dar es Salaam, kwa kutoa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Kinana awashukia viongozi goigoi
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Slaa awashukia viongozi wa Serikali
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Mutungi awashukia viongozi wa vyama
5 years ago
CCM Blog
RC KAGERA AWASHUKIA VIONGOZI NGAZI ZOTE

Na Lydia Lugakila-: Kagera
Mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti ameagiza viongozi wa ngazi zote mkoani Kagera kuacha Mara moja masuala ya migogoro na mivutano inayovuruga amani na kukwamisha maendeleo ya mkoa na taifa kwa ujumla.
Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti ametoa agizo hilo katika kikao maalum cha kamati ya ushauri ya mkoa (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa...
10 years ago
Dewji Blog23 Sep
Karsan awashukia viongozi wa dini, wanahabari
Mgeni rasmi Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Zulmira Rodrigues (wa pili kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Vilabu vya Waandishi wa Habari (UTPC), Abubakar Karsan mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Nyanza jijini Mwanza kushiriki maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Amani duniani ambapo kitaifa yamefanyika jijini Mwanza. Kushoto ni Msajili wa Vyama vya Siasa nchini,...
9 years ago
Habarileo30 Nov
Diwani Chadema mbaroni
DIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kata ya Mbuga, tarafa ya Mwaya wilayani Ulanga mkoani Morogoro, Mussa Madona, na wenzake sita wametiwa mbaroni na Polisi na kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuchoma moto nyumba sita za wananchi wa kijiji cha Iputi.
10 years ago
Habarileo04 Nov
Diwani wa Chadema apongeza serikali
DIWANI wa Kata ya Kilagano Halmashauri ya Wilaya ya Songea Vijijini (Chadema), Batholomew Mkwera, amepongeza serikali kwa kumaliza kero mbalimbali katika kata yake.
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Diwani Chadema akisaliti chama
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Diwani CHADEMA akemea uhalifu
DIWANI wa Ilomba, Dickson Mwakilasa (CHADEMA) amesema vitendo vya uhalifu vinavyofanywa havipaswi kufumbiwa macho na wazazi wana wajibu wa kukemea tabia hiyo. Mwakilasa alitoa rai hiyo alipotoa kauli hiyo mjini...