Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnyika: Wasaliti hawaponi CHADEMA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kitaendelea kutimua wasaliti na kutaka wananchi kuendelea kuwaunga mkono kwenye Operesheni ‘M4C Pamoja Daima’. Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, alitoa kauli hiyo jana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yatanga kiama kwa wasaliti

UONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Dodoma umetangaza kiama kwa wanachama mamluki ambao wamekuwa wakitumiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa ajili ya kusababisha migogoro ndani...

 

10 years ago

Habarileo

Mnyika amrithi Zitto Chadema

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemteua tena Dk Willibrod Slaa kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho kikuu cha upinzani kwa sasa nchini. Hii ina maana kwamba Dk Slaa mwenye umri wa miaka 65, atashika wadhifa huo hadi mwaka 2019. Alianza kushika nafasi hiyo mwaka 2002, akitoka kuwa Makamu Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, nafasi aliyoishika kuanzia mwaka 1998.

 

11 years ago

Habarileo

Slaa, Mnyika wamkataa Diwani wa Chadema

KATIBU Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa na Katibu Mwenezi wake, John Mnyika wamemkataa diwani wa chama hicho wa Kata ya Majengo mjini Kahama Mkoa wa Shinyanga, Bobson Wambura, wakidai ni msaliti. Viongozi hao wa kitaifa, waliorodhesha tuhuma kadhaa dhidi ya diwani huyo za kuhalalisha kutotakiwa ndani ya chama kwenye mkutano wa hadhara mjini hapa.

 

10 years ago

Michuzi

MHE JOHN MNYIKA AMRITHI ZITTO KABWE CHADEMA

DK SLAA,SALUM MWALIM PAMOJA NA JOHN MNYIKA Uchaguzi ndani ya chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA leo usiku huu umefikia tamati kwa kamati kuu ya chama hicho kupata viongozi wake wamwisho ambao ni KATIBU MKUU ,NAIBU KATIBU MKUU BARA pamoja na NAIBU KATIBU MKUU ZANZIBAR

MATOKEOKATIBU MKUU --DK WILLBROD SLAA--NAIBU KATIBU MKUU BARA---JOHN MNYIKANAIBU KATIBU MKUU ZANZIBAR--SALUM MWALIMViongozi awa waliteuliwa na mwenyekiti wa chama hicho kama katiba inavyosema na hatimaye baraza kuu...

 

10 years ago

Mtanzania

Mnyika: Chadema tunajiandaa na maandamano kupinga Bunge la Katiba

John Mnyika

Mbunge wa Ubungo, John Mnyika

Michael Sarungi na Grace Shitundu, Dar es Salaama

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kipo katika hatua za mwisho za  maandalizi ya  maandamano ya kupinga vikao vya Bunge Maalamu  la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma.

Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC) kumuagiza Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, kurudi katika meza ya mazungumzo na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA)   kunusuru  mchakato wa Katiba...

 

10 years ago

GPL

MNYIKA AFUNIKA MWANZA CHADEMA IKIZINDUA KANDA YA ZIWA VICTORIA

Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Bara, John Mnyika na Mbunge wa Nyamagana Ezekiel Wenje  akiwasili katika Uwanja wa Furahisha jijini Mwanza. John Mnyika akihutubia wananchi wa Mwanza jana. Wakazi wa Mwanza wakifuatilia mkutano huo wa uzinduzi wa Kanda ya Ziwa Victoria.…

 

9 years ago

Raia Mwema

Dk. Tulia: Wasaliti watadhibitiwa

Katika toleo lililopita tuliwaletea mahojiano kati ya Naibu Spika Dk.

Waandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba awataja wasaliti wa Nyerere

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema wanasiasa wanaomtuhumu kwa kumsaliti Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuhusu Muungano, ndiyo wasaliti kwa kuwa waliingiza kwenye Katiba, mambo yanayokinzana na makubaliano ya Muungano huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba ataja wasaliti wa Nyerere

MWENYEKITI wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amedokeza kuwa kwa tabia na mwenendo wao, watawala wamemsaliti Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Jaji Warioba amekemea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani