Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Tulia: Wasaliti watadhibitiwa

Katika toleo lililopita tuliwaletea mahojiano kati ya Naibu Spika Dk.

Waandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Trafiki wala rushwa kukiona watadhibitiwa

Askari wa Usalama barabarani wametakiwa kuhakikisha wanajisafisha na lawama za rushwa zinazofedhehesha na kulichafua Jeshi la Polisi.

 

10 years ago

Habarileo

Mangula ‘asaka’ wasaliti CCM

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Philip Mangula (kushoto), akihutubia katika mkutano wa wajumbe wa Halmshauri kuu ya CCMMAKAMU Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Philip Mangula amemaliza ziara yake katika majimbo ya Mkoa wa Dar es Salaam, na kuagiza kila mwanachama awe mlinzi wa mwenzake, amchunguze ili kuepuka wasaliti.

 

9 years ago

Habarileo

CCM Arusha kutimua wasaliti

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha kimesema kitaanika hadharani majina ya viongozi na wanachama wasaliti ikiwemo kuwachukulia hatua za kuwafukuza kwani kuendelea kuwepo kwao kunakimaliza chama.

 

10 years ago

Mtanzania

Mangula awashukia wasaliti CCM

MangulaNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MAKAMU Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula amesema chama hicho kamwe hakitawafumbia macho viongozi wasaliti wasiokitakia mema chama hicho.
Amesema wanachama wake, wanatakiwa kuwafichua viongozi wa aina hiyo ili kukinusuru kisipoteze nafasi za majimbo na udiwani katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.
“Endapo mwanachama au kiongozi, akibainika kufanya hujuma dhidi ya chama, atachukuliwa hatua kali ikiwemo ya kufukuzwa uanachama, CCM haina...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba ataja wasaliti wa Nyerere

MWENYEKITI wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amedokeza kuwa kwa tabia na mwenendo wao, watawala wamemsaliti Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Jaji Warioba amekemea...

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba awataja wasaliti wa Nyerere

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema wanasiasa wanaomtuhumu kwa kumsaliti Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuhusu Muungano, ndiyo wasaliti kwa kuwa waliingiza kwenye Katiba, mambo yanayokinzana na makubaliano ya Muungano huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika: Wasaliti hawaponi CHADEMA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kitaendelea kutimua wasaliti na kutaka wananchi kuendelea kuwaunga mkono kwenye Operesheni ‘M4C Pamoja Daima’. Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, alitoa kauli hiyo jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kilichowaangusha wasaliti hiki hapa

TAMAA ya madaraka na fedha, vimetajwa kama sababu kubwa zilizowasambaratisha wanasiasa wengi waliowahi kuvuma ndani ya vyama mbalimbali vya upinzani nchini tangu kurejea kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992...

 

9 years ago

StarTV

CCM chaonya wanachama wasaliti

Chama cha Mapinduzi CCM kimesema hakitawavumilia wanachama wake waliokisaliti na kusababisha majimbo mawili ya Tarime mjini na Tarime vijijini kuchukuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.

Kauli ya katibu mwenezi wa CCM wilaya Tarime Sospeter Samson aliyoitoa mjini Tarime alipokuwa akiongea na Star Tv.

Katibu muenezi wa ccm wilaya ya tarime Sospeter Samson amesema, kwa sasa chama kimeanza vikao vya tathimini, ili kubaini nini kilicho sababisha chama hicho kuyapoteza majimbo yote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani