Shy-Rose adaiwa kumpiga mbunge mwenzake Nairobi
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Shy-Rose Bhanji ameingia katika mgogoro mpya baada ya kutuhumiwa kumpiga mbunge mwenzake kutoka Tanzania, Dk Nderakindo Kessy jijini Nairobi, Kenya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Nov
Mbunge Shy-Rose hakupigana Kenya-Sitta
SERIKALI imesema Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shy-Rose Bhanji hajapigana nchini Kenya, na wanasubiri Tume ya EALA ili kujua ukweli wa tuhuma zinazoelekezwa kwake.
10 years ago
Vijimambo23 Nov
Kikwete kupewa jukumu la kuamua hatma ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shy-Rose Bhanji,
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Shy-rose(3).jpg)
Rais Kikwete anatarajiwa kuchukua Uenyekiti wa EAC baada ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki uliopangwa kufanyika jijini Nairobi, Kenya, Novemba 29 na 30 mwaka huu.
Mwenyekiti wa sasa wa EAC, Rais Uhuru Kenyatta, wa Kenya anamaliza muda wake mwezi huu na Raia Mwema...
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Shy-Rose akaangwa
HOJA binafsi ya kumjadili mbunge Shy-Rose Bhanji wa Tanzania ndani ya Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), limeingia katika sura mpya baada bunge hilo kuahirishwa tena jana muda mfupi...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Shy-Rose awekwa Kiporo
HOJA binafsi ya kumuwajibisha Mbunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki(EALA) Shy –Rose Bhanji imewekwa kiporo baada ya bunge hilo malizika mjini Kigali jana hadi litakapopitishwa tena. Suala la...
10 years ago
Mtanzania27 Feb
Diwani Chadema adaiwa kumpiga mjamzito
Asifiwe George na Veronica Romwald, Dar es Salaam
DIWANI wa Kata ya Saranga wilayani Kinondoni, Ephraim Kinyafu (CHADEMA) anadaiwa kumshambulia kwa mateke na fimbo, Aisha Mosses, ambaye ni mjamzito akimtuhumu kuwa ni mamluki.
Tukio hilo lilitokea jana katika Mtaa wa Saranga ambako hatua ya uandikishaji wananchi kwa ajili ya kurudia uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao awali ulivurugika, lilikuwa likiendelea.
Akizungumza na MTANZANIA shuhuda wa tukio hilo, Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
10 years ago
Habarileo10 Nov
Wabunge waahidi kumtetea Shy-Rose
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Twaha Tasilima, amesema wabunge wenzake wa Tanzania waliopo kwenye Bunge hilo, watasimama kidete kumtetea mbunge mwenzao, Shy-Rose Bhanji kwani hajatendewa haki ya kusikilizwa juu ya tuhuma anazoshutumiwa na wenzake.
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Naibu Spika adaiwa kumpiga mgombea CCM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4C3Rvebol77DFeyhzl9UaUzTpOGNYmsLb6l9SB2t6lrqxD75j1arwE0DP-hvqxqyJrmBWFsfmV*JVHQSr5hu8c/Chid.jpg)
MADAI: CHID BENZ ADAIWA KUMPIGA PAPARAZI
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Shy-Rose, Spika Zziwa kikaangoni tena