Mbunge Shy-Rose hakupigana Kenya-Sitta
SERIKALI imesema Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shy-Rose Bhanji hajapigana nchini Kenya, na wanasubiri Tume ya EALA ili kujua ukweli wa tuhuma zinazoelekezwa kwake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Shy-Rose adaiwa kumpiga mbunge mwenzake Nairobi
10 years ago
Vijimambo23 Nov
Kikwete kupewa jukumu la kuamua hatma ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Shy-Rose Bhanji,
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Shy-rose(3).jpg)
Rais Kikwete anatarajiwa kuchukua Uenyekiti wa EAC baada ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki uliopangwa kufanyika jijini Nairobi, Kenya, Novemba 29 na 30 mwaka huu.
Mwenyekiti wa sasa wa EAC, Rais Uhuru Kenyatta, wa Kenya anamaliza muda wake mwezi huu na Raia Mwema...
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Shy-Rose akaangwa
HOJA binafsi ya kumjadili mbunge Shy-Rose Bhanji wa Tanzania ndani ya Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), limeingia katika sura mpya baada bunge hilo kuahirishwa tena jana muda mfupi...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Shy-Rose awekwa Kiporo
HOJA binafsi ya kumuwajibisha Mbunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki(EALA) Shy –Rose Bhanji imewekwa kiporo baada ya bunge hilo malizika mjini Kigali jana hadi litakapopitishwa tena. Suala la...
10 years ago
Habarileo10 Nov
Wabunge waahidi kumtetea Shy-Rose
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Twaha Tasilima, amesema wabunge wenzake wa Tanzania waliopo kwenye Bunge hilo, watasimama kidete kumtetea mbunge mwenzao, Shy-Rose Bhanji kwani hajatendewa haki ya kusikilizwa juu ya tuhuma anazoshutumiwa na wenzake.
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Wabunge tisa wajiuzulu kumpinga Shy-Rose
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Shy-Rose, Spika Zziwa kikaangoni tena
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Shy-Rose ‘amponza’ Spika Zziwa wa Eala
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Utovu wa nidhamu wamweka pabaya Shy-Rose Bhanji
WIKI mbili zilizopita kulikuwa na mvutano mkubwa ndani ya Bunge la Afrika Mashariki (EALA), ambao ulikwamisha shughuli za Bunge hilo kutokana na baadhi ya wabunge kugomea, wakitaka kwanza mbunge kutoka...