Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Slaa: Kiongozi anayetaka kuondoka CHADEMA ruksa

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema kuwa mbunge au diwani anayetaka kuondoka CHADEMA milango iko wazi, kwa sababu hawawezi kumvumilia kiongozi msaliti wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mbowe: Wanachama ‘mizigo’ Chadema ruksa kuondoka

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema uongozi wake, utakilinda chama kwa gharama yoyote na kuwa milango iko wazi kwa watu wasio na nia ya dhati kuondoka.

 

9 years ago

Mwananchi

Anayetaka uspika ruksa - CCM

Wakati makada wa CCM, wakionyesha nia ya ‘kimya kimya’ kuwania nafasi ya kiti cha Spika wa Bunge la 11, chama hicho kimesema anayetaka nafasi hiyo ruksa kujipitisha kwa wabunge kuomba kura.

 

10 years ago

BBCSwahili

Petr Cech ruksa kuondoka Chelsea

Golikipa Petr Cech anaweza kumaliza miaka yake 11 ndani ya klabu ya Chelsea

 

10 years ago

Mwananchi

Ivo, Cholo, Owino ruksa kuondoka Simba

Rais wa Simba, Evance Aveva ametoa ruhusa kwa wachezaji wake, Ivo Mapunda, Nassor Said ‘Cholo’, Joseph Owino, Issa Rashida ‘Baba Ubaya’, Haruna Chanongo kufanya mazungumzo na timu nyingine.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe: Anayetaka kupima kifua na mimi aje Chadema

>Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana alikabidhiwa fomu na makada wa chama hicho na kumtaka awanie tena kiti hicho, ombi ambalo alilikubali na kufungua milango kwa wanachama wengine ‘kupimana naye kifua’.

 

11 years ago

Mwananchi

Zitto ruksa kukata rufaa Chadema

>Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) umempelekea Zitto Kabwe taarifa ya kikao cha Kamati Kuu kilichomvua madaraka yake ndani ya chama hicho ili aweze kukata rufaa.

 

10 years ago

Vijimambo

Mpango wa Zitto kuondoka CHADEMA na wabunge 3 wagundulik

Taarifa ambazo bado hazijathibitishwa zinasema kuwa kuna wabunge watatu wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA wanatarajiwa kujitoa ndani ya chama hicho mwishoni mwa mwezi huu na kujiunga na chama cha ACT.Taarifa hizo zinasema pia hii ni baada ya majadiliano ya muda mrefu na kufikia muafaka na mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe anayetarajiwa kuongoza wabunge hao watatu kujiunga na chama hicho katika mkutano mkuu wa ACT tarehe 28/3
Taarifa zaidi zinasema pia kuna wabunge wachache wa...

 

11 years ago

GPL

CHADEMA JIMBO LA KIGOMA KASKAZINI: TAMKO KUHUSU KUONDOKA KWA WALIOKUWA VIONGOZI

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Kigoma Kaskazini tunapenda kutoa taarifa kwa umma kutokana na sintofahamu inayotaka kulazimishwa mbele ya jamii kuhusu uimara wa chama chetu mkoani Kigoma.Tangu jana na leo kumeenea taarifa zinazowahusu watu watatu, Jaffari Kasisiko, Msafiri Wamarwa na Mama Malunga Masoud, ambao vyombo mbalimbali vya habari vimeandika kuwa wamehama chama chetu cha CHADEMA na kukimbilia...

 

10 years ago

Daily News

Chadema re-instals Slaa as SG


Daily News
Chadema re-instals Slaa as SG
Daily News
THE opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) has reappointed Dr Wilbrod Slaa as the party's Secretary General for a further five-year term. He will be the party's executive leader until 2019. He was appointed to the position for the first ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani