Slaa: Kiongozi anayetaka kuondoka CHADEMA ruksa
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema kuwa mbunge au diwani anayetaka kuondoka CHADEMA milango iko wazi, kwa sababu hawawezi kumvumilia kiongozi msaliti wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 Jul
Mbowe: Wanachama ‘mizigo’ Chadema ruksa kuondoka
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema uongozi wake, utakilinda chama kwa gharama yoyote na kuwa milango iko wazi kwa watu wasio na nia ya dhati kuondoka.
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Anayetaka uspika ruksa - CCM
Wakati makada wa CCM, wakionyesha nia ya ‘kimya kimya’ kuwania nafasi ya kiti cha Spika wa Bunge la 11, chama hicho kimesema anayetaka nafasi hiyo ruksa kujipitisha kwa wabunge kuomba kura.
10 years ago
BBCSwahili15 May
Petr Cech ruksa kuondoka Chelsea
Golikipa Petr Cech anaweza kumaliza miaka yake 11 ndani ya klabu ya Chelsea
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Ivo, Cholo, Owino ruksa kuondoka Simba
Rais wa Simba, Evance Aveva ametoa ruhusa kwa wachezaji wake, Ivo Mapunda, Nassor Said ‘Cholo’, Joseph Owino, Issa Rashida ‘Baba Ubaya’, Haruna Chanongo kufanya mazungumzo na timu nyingine.
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Mbowe: Anayetaka kupima kifua na mimi aje Chadema
>Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana alikabidhiwa fomu na makada wa chama hicho na kumtaka awanie tena kiti hicho, ombi ambalo alilikubali na kufungua milango kwa wanachama wengine ‘kupimana naye kifua’.
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Zitto ruksa kukata rufaa Chadema
>Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) umempelekea Zitto Kabwe taarifa ya kikao cha Kamati Kuu kilichomvua madaraka yake ndani ya chama hicho ili aweze kukata rufaa.
10 years ago
Vijimambo![](http://lh3.ggpht.com/-OSl-yolkoOA/VPrRKtTesjI/AAAAAAAAplc/FAiM52hTzTc/s72-c/Zitto%252520K%25252828%252529.jpg)
Mpango wa Zitto kuondoka CHADEMA na wabunge 3 wagundulik
![](http://lh3.ggpht.com/-OSl-yolkoOA/VPrRKtTesjI/AAAAAAAAplc/FAiM52hTzTc/s640/Zitto%252520K%25252828%252529.jpg)
Taarifa zaidi zinasema pia kuna wabunge wachache wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68XgjDaKrcJ-nBS1KfU4t9gO9ChEH*SkhzzpkqYxXlhEodq1qVlm0BkJxHHi9SJWAkIJR1JdAJDCgpWJQfOKbqG8*n/Chadema_logo.jpg)
CHADEMA JIMBO LA KIGOMA KASKAZINI: TAMKO KUHUSU KUONDOKA KWA WALIOKUWA VIONGOZI
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Kigoma Kaskazini tunapenda kutoa taarifa kwa umma kutokana na sintofahamu inayotaka kulazimishwa mbele ya jamii kuhusu uimara wa chama chetu mkoani Kigoma.Tangu jana na leo kumeenea taarifa zinazowahusu watu watatu, Jaffari Kasisiko, Msafiri Wamarwa na Mama Malunga Masoud, ambao vyombo mbalimbali vya habari vimeandika kuwa wamehama chama chetu cha CHADEMA na kukimbilia...
10 years ago
Daily News17 Sep
Chadema re-instals Slaa as SG
Daily News
Daily News
THE opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) has reappointed Dr Wilbrod Slaa as the party's Secretary General for a further five-year term. He will be the party's executive leader until 2019. He was appointed to the position for the first ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania