Anayetaka uspika ruksa - CCM
Wakati makada wa CCM, wakionyesha nia ya ‘kimya kimya’ kuwania nafasi ya kiti cha Spika wa Bunge la 11, chama hicho kimesema anayetaka nafasi hiyo ruksa kujipitisha kwa wabunge kuomba kura.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Slaa: Kiongozi anayetaka kuondoka CHADEMA ruksa
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema kuwa mbunge au diwani anayetaka kuondoka CHADEMA milango iko wazi, kwa sababu hawawezi kumvumilia kiongozi msaliti wa...
9 years ago
Mwananchi15 Nov
CCM yapandisha joto la uspika
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Makada tisa wajitokeza uspika CCM
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/CCM-1.jpg)
KAMATI KUU CCM YAPITISHA MAJINA 3 YA USPIKA
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-XmEhOtQpuh8/VkWVlJyZ2FI/AAAAAAAArRg/59Q_yDypZqs/s72-c/2.jpg)
WABUNGE WA CCM WAENDELEA KUCUKUA FOMU ZA USPIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XmEhOtQpuh8/VkWVlJyZ2FI/AAAAAAAArRg/59Q_yDypZqs/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YMC_p2PYVjU/VkWVlhMAn6I/AAAAAAAArRo/FCdbNkGYiFA/s640/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qrKT5Iz3R2E/VkWVldOVfSI/AAAAAAAArRk/isdJ5Pm6Ibg/s640/4.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JKHzTtDIccM/Vkm6374H5hI/AAAAAAAArdA/st_qZygFbKI/s72-c/2.jpg)
WABUNGE WA CCM WAAMUA KWA PAMOJA NAFASI YA USPIKA NI JOB NDUGAI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JKHzTtDIccM/Vkm6374H5hI/AAAAAAAArdA/st_qZygFbKI/s640/2.jpg)
Katibu wa NEC (CCM) Itikadi na Uenezi ambaye pia ni mbunge wa Mtama, Nape Nnauye alisema “Kamati ya Wabunge wote wa CCM imekamilisha kazi yake ya kwanza kuchambua na kupitisha moja kati ya majina matatu yaliyoteuliwa na Kamati Kuu. “Kama tulivyoona wagombea wawili walijitoa, hivyo Job Ndugai amepitishwa kwa kauli moja kugombea nafasi ya uspika. Tunamuombea...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vtrem8rTnXg/VkMq6MKjkXI/AAAAAAAIFUc/yyT2SEvDkEo/s72-c/ccm.png)
CCM YAANZA KUTOA FOMU ZA KUWANIA USPIKA KWA WANACHAMA WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-vtrem8rTnXg/VkMq6MKjkXI/AAAAAAAIFUc/yyT2SEvDkEo/s640/ccm.png)
Ratiba ya mchakato huo ni kama ifuatavyo;-
i. Wana-CCM wasio Wabunge wanaoomba ridhaa ya CCM kugombea Uspika wanatakiwa kuchukua fomu kuanzia Novemba 11, 2015 saa Sita Kamili mchana katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam na kuzirejesha Novemba 12, 2015 kabla ya saa...
10 years ago
Habarileo07 Jun
Midahalo ya watangaza nia CCM sasa ruksa
WATANZANIA sasa watapata fursa pana zaidi ya kufahamu kwa undani wanachama wa CCM waliotangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho, baada ya Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, kuridhia midahalo kwa wanachama hao.
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
CCM yaanza mchakato wa kusaka wenye sifa za kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Muonekano wa jengo la Ofisi ndogo ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatangaza Ratiba ya Uchukuaji Fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wana-CCM wote wenye sifa husika.
Ratiba ya mchakato huo ni kama ifuatavyo;-Wana-CCM wasio Wabunge wanaoomba ridhaa ya CCM kugombea Uspika wanatakiwa kuchukua fomu kuanzia Novemba 11, 2015 saa Sita Kamili mchana katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya...