Makada tisa wajitokeza uspika CCM
Makada tisa wa CCM wamejitokeza kuwania uspika wa Bunge la Kumi na Moja linalotarajiwa kuanza wiki ijayo, akiwamo aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa, Samuel Sitta.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Makada tisa CCM wajitosa kumrithi Filikunjombe
Wanachama tisa wa CCM wamejitosa kuwania kuteuliwa kugombea ubunge wa Jimbo la Ludewa mkoani Njombe ambalo uchaguzi wake uliahirishwa baada ya aliyekuwa mgombea kupitia chama hicho, Deo Filikunjombe kufariki dunia kwa ajali ya helikopta.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vI5l4JvMTZg/XvM1c3ZdTaI/AAAAAAALvPU/0p7EzyaFLxwCHiYOZLpRt5eltLppjNmFACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B1.13.18%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
WANAWAKE WAWILI WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU YA URAIS CCM ZANZIBAR,MAKADA WAFIKIA 26
-WALIOREJESHA FOMU WAFIKIA WANNE
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.
WANAMAMA wawili wamejitokeza leo 24 Juni kuchukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Mwanamama wa kwanza ni Husna Attai Masoud aliwasili viwanja vya Afisi Kuu ya CCM -Zanzibar zilizopo eneo la Kisiwandui majira ya saa Nne akiwa amesindikizwa na wapambe wake watano wote Wanamama akiwemo dereva aliyewaendesha na
kisha kupanda hadi gorofa ya pili kwa Katibu wa Idara ya Organization...
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.
WANAMAMA wawili wamejitokeza leo 24 Juni kuchukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Mwanamama wa kwanza ni Husna Attai Masoud aliwasili viwanja vya Afisi Kuu ya CCM -Zanzibar zilizopo eneo la Kisiwandui majira ya saa Nne akiwa amesindikizwa na wapambe wake watano wote Wanamama akiwemo dereva aliyewaendesha na
kisha kupanda hadi gorofa ya pili kwa Katibu wa Idara ya Organization...
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-N3IiPwhkoYU/VkM7K65qKrI/AAAAAAAArKQ/imeDmeNGh3M/s72-c/1.jpg)
WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA USPIKA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-N3IiPwhkoYU/VkM7K65qKrI/AAAAAAAArKQ/imeDmeNGh3M/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lD8hLXvE6Ew/VkM7LWvjrfI/AAAAAAAArKU/xpD6Qizkxlc/s640/3.jpg)
9 years ago
Mwananchi15 Nov
CCM yapandisha joto la uspika
Wakati Kamati Kuu ya CCM ikikutana leo jijini Dar es Salaam kupitisha majina matatu kati ya 23 ya wanaowania uspika, joto la kuwania nafasi hiyo linazidi kupanda .
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Anayetaka uspika ruksa - CCM
Wakati makada wa CCM, wakionyesha nia ya ‘kimya kimya’ kuwania nafasi ya kiti cha Spika wa Bunge la 11, chama hicho kimesema anayetaka nafasi hiyo ruksa kujipitisha kwa wabunge kuomba kura.
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Makada CCM wamvaa JK
Makada wawili wa CCM wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kuhakikisha kabla ya Uchaguzi Mkuu, anaondoa makundi ndani ya chama hicho, ambacho kinakabiliwa na kazi ngumu ya kumpata mgombea wake bila ya kutokea mpasuko.
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-XmEhOtQpuh8/VkWVlJyZ2FI/AAAAAAAArRg/59Q_yDypZqs/s72-c/2.jpg)
WABUNGE WA CCM WAENDELEA KUCUKUA FOMU ZA USPIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XmEhOtQpuh8/VkWVlJyZ2FI/AAAAAAAArRg/59Q_yDypZqs/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YMC_p2PYVjU/VkWVlhMAn6I/AAAAAAAArRo/FCdbNkGYiFA/s640/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qrKT5Iz3R2E/VkWVldOVfSI/AAAAAAAArRk/isdJ5Pm6Ibg/s640/4.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/CCM-1.jpg)
KAMATI KUU CCM YAPITISHA MAJINA 3 YA USPIKA
KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi leo imewapitisha Ndugu Job Ndugai, Ndugu Abdullah Ali Mwinyi na Dk. Tulia Ackson Mwansasu kugombea nafasi ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kikao cha kupitisha majina hayo kimefanyika katika ukumbi wa makao makuu ya chama hicho mkoani Dodoma kikiongozwa na Mwenyekiti wake ambaye ni Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dk. Jakaya Kikwete.… ...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Makada CCM waonya kubebana
BAADHI ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamesema watamkataa mgombea yeyote wa urais atakayebebwa au kupata upendeleo wa baadhi ya vigogo au kundi lolote kwa maslahi binafsi. Wakizungumza na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania