Makada CCM waonya kubebana
BAADHI ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamesema watamkataa mgombea yeyote wa urais atakayebebwa au kupata upendeleo wa baadhi ya vigogo au kundi lolote kwa maslahi binafsi. Wakizungumza na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Wana-CCM Dodoma waonya wajumbe
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Makada CCM wamvaa JK
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
CCM yawasulubu makada wake
KAMATI ya Maadili ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imewasulubu makada wake watatu miongoni mwa sita ambao wanatuhumiwa kwenda kinyume cha maadili ya chama hicho tawala. Makada hao ambao baadhi yao...
10 years ago
Mwananchi19 Jan
CCM kuwabana makada escrow
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Makada CCM wamgwaya Pinda
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SIKU moja baada ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kutangaza nia ya kujitosa kuwani urais katika Uchaguzi Mkuu 2015, baadhi ya wanachama wa CCM na wasomi wamekuwa na maoni tofauti.
Hali hiyo imekuwa tofauti ambapo Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Philip Mangula, alishindwa kueleza kwa undani kauli hiyo ya Pinda huku akisema hawezi kuzungumza jambo lolote kwa sasa hadi pale atakapomaliza vikao vya chama.
Akizungumza na MTANZANIA jana kwa njia...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Makada CCM wanusurika kifo
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Oct
Makada wa CCM wajiandalia safari ya ICC
UCHAGUZI mkuu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na uchaguzi wa kumchagua Rais wa Zanzibar unaotarajiwa Oktoba 25 unakabiliwa na mtihani mgumu kutokana na kampeni chafu inayoendeshwa na makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). […]
The post Makada wa CCM wajiandalia safari ya ICC appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Uhuru Newspaper22 Apr
Kilifu ataka makada wanaokubalika CCM
NA SOLOMON MWANSELE, MBARALI
MBUNGE wa Mbarali, Modestus Kilufi, amekiomba Chama kufanya tathimini ya watu watakaogombea nafasi mbalimbali za uongozi.
Aidha, alisema viongozi ambao hawakubaliki wasigombee tena na badala yake wateuliwe wanaokubalika.
Kilufi alisema hayo jana kwenye kikao cha kamati ya siasa ya Chama ya wilaya ya Mbarali, kilichohudhuriwa na Katibu wa Chama mkoa wa Mbeya, Mwangi Kundya.
Kundya yupo katika ziara ya kuzitembelea wilaya zote za Mkoa wa Mbeya na katika ziara hiyo...
10 years ago
Mwananchi22 May
Hatima ya makada sita wa CCM leo