Mbowe: Wanachama ‘mizigo’ Chadema ruksa kuondoka
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema uongozi wake, utakilinda chama kwa gharama yoyote na kuwa milango iko wazi kwa watu wasio na nia ya dhati kuondoka.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Slaa: Kiongozi anayetaka kuondoka CHADEMA ruksa
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema kuwa mbunge au diwani anayetaka kuondoka CHADEMA milango iko wazi, kwa sababu hawawezi kumvumilia kiongozi msaliti wa...
10 years ago
BBCSwahili15 May
Petr Cech ruksa kuondoka Chelsea
Golikipa Petr Cech anaweza kumaliza miaka yake 11 ndani ya klabu ya Chelsea
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Ivo, Cholo, Owino ruksa kuondoka Simba
Rais wa Simba, Evance Aveva ametoa ruhusa kwa wachezaji wake, Ivo Mapunda, Nassor Said ‘Cholo’, Joseph Owino, Issa Rashida ‘Baba Ubaya’, Haruna Chanongo kufanya mazungumzo na timu nyingine.
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Walimu EAC sasa ruksa kufundisha nchi wanachama
Baraza la Mawaziri la Afrika Mashariki (EAC), limekamilisha mpango unaolenga kumaliza uhaba wa walimu kwa kuwaruhusu kufanya kazi katika nchi yoyote mwanachama wa Jumuiya hiyo.
10 years ago
Mwananchi28 Mar
Mbowe: Kila chama Ukawa ruksa kuandaa wagombea
>Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umesema kila chama ndani ya umoja huo kiko huru kutoa fomu na kuandaa wanachama wake watakaoshindanishwa katika mchakato wa kuwapata wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Zitto ruksa kukata rufaa Chadema
>Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) umempelekea Zitto Kabwe taarifa ya kikao cha Kamati Kuu kilichomvua madaraka yake ndani ya chama hicho ili aweze kukata rufaa.
11 years ago
Mwananchi20 Jul
‘Walioondoka Chadema ni mizigo’
 Baadhi ya viongozi na wanachama wa Chadema mjini Kigoma wamesema kuondoka kwa viongozi wao watatu wa ngazi ya Mkoa na kutangaza kujiunga na Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT) kumewafariji na kuwapunguzia mzigo wa fikra kwa vile walikwishaonyesha nia ya kukihama chama hicho tangu Desemba 2013.
10 years ago
Michuzi03 Mar
CHADEMA Red Brigade wala kiapo Mwanza mbele ya Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe
![](https://3.bp.blogspot.com/-C0hrD70_tH8/VPROrVS30TI/AAAAAAADQM8/u5GW31g2XY0/s1600/red%2Bbrigade2.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-5MF9SQCARvw/VPROrEsFwPI/AAAAAAADQM4/lo1kQV44FSI/s1600/Lwakatare.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-G8CHuQ9Is3s/VcDGCkqsYSI/AAAAAAAB9jU/OKZ5lmbh9zY/s72-c/mbowe.jpg)
MSUMARI WA MWISHO KWENYE JENEZA WA MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE KUHUSU LOWASA KUHAMIA CHADEMA LIVE!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-G8CHuQ9Is3s/VcDGCkqsYSI/AAAAAAAB9jU/OKZ5lmbh9zY/s640/mbowe.jpg)
"Haukuwa uamuzi rahisi.. Kamati Kuu ilifanya utafiti kwa vikao vingi na mashauriano. Tafiti zilituambia kuwa Edward Lowassa akipeperusha bendera ya Chadema/UKAWA,ndoto ya mabadiliko makubwa nchini itatimia. Kwa Kauli moja, Kamati Kuu iliridhia Edward Lowassa awe mgombea kwa Chadema na baadae tukawauliza wenzetu wa UKAWA kama wanakubali ama kukataa. Wajumbe wote akiwemo Katibu Mkuu Dr W Slaa waliridhia... baadae kuna watu labda wakamshauri vingine... " - Freeman Mbowe.. Mwenyekiti Taifa wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania