Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Walioondoka Chadema ni mizigo’

 Baadhi ya viongozi na wanachama wa Chadema mjini Kigoma wamesema kuondoka kwa viongozi wao watatu wa ngazi ya Mkoa na kutangaza kujiunga na Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT) kumewafariji na kuwapunguzia mzigo wa fikra kwa vile walikwishaonyesha nia ya kukihama chama hicho tangu Desemba 2013.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mbowe: Wanachama ‘mizigo’ Chadema ruksa kuondoka

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema uongozi wake, utakilinda chama kwa gharama yoyote na kuwa milango iko wazi kwa watu wasio na nia ya dhati kuondoka.

 

10 years ago

Vijimambo

USAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBARUSAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBAR

TUMA BIASHARA ZAKO KWA NJIA YA BAHARI AMBAYO NI NAFUU KWA UZITO WOWOTE ULE, CONTAINER LETU LINAONDOKA MWISHO MWA FEBRUARY.KWA TAARIFA ZAIDI WASILIANA NASI KWA CONTACT HIZO HAPO JUU

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wakongwe mizigo Ashanti’

Kocha wa Ashanti  United, Abdalah Kibadeni ‘King’ amewaangushia jumba bovu wachezaji wake wakongwe kwa kusema matokeo duni ya timu yake yamechangiwa na wao kushindwa kutimiza wajibu wao.

 

11 years ago

Habarileo

Kilichowabakiza ‘mawaziri mizigo’

SERIKALI imetoa kauli kuhusu tuhuma zilizokuwa zikiwakabili baadhi ya mawaziri, waliobatizwa jina la ‘Mawaziri Mizigo’, na hatua ambazo zimekuwa zikichukuliwa kukabiliana na kero zilizosababisha wapewe jina hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Mizigo’ itaisambaratisha CCM

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amenukuliwa siku za hivi karibuni akisema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kisitafute dawa ya mawaziri ‘mizigo’, badala yake wamwajibishe...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mizigo yatesa CCM

UTEUZI wa mawaziri uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete wiki iliyopita, umekimega mapande mawili yanayotishia mustakabali wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Daima Jumapili, limebaini. Kabla ya uteuzi huo, Kamati Kuu...

 

10 years ago

Vijimambo

USAFIRISHAJI MIZIGO DAR NA ZANZIBAR

TUMA BIASHARA ZAKO KWA NJIA YA BAHARI AMBAYO NI NAFUU KWA UZITO WOWOTE ULE, CONTAINER LETU LINAONDOKA MWISHONI MWA  FEBRUARY, KWA TAARIFA ZAIDI WASILIANA NASI KWA CONTACT HIZO HAPO JUU

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge na Waziri waitana mizigo

VUTA nikuvute imeibuka baada ya Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza na Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola (CCM) kuitana mizigo ndani ya Bunge.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mawaziri mizigo waipasua CCM

HALI si shwari ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kufuatia uteuzi wa mawaziri uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni ambapo sasa makundi mbalimbali yameanza kuibuka na kushambuliana kwa maneno...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani