Mbunge na Waziri waitana mizigo
VUTA nikuvute imeibuka baada ya Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza na Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola (CCM) kuitana mizigo ndani ya Bunge.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi07 Dec
Kanusho Kutoka Ofisi ya Mbunge na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Kuhusu Uvumi Uliozagaa Kwenye Mitandao Mbalimbali ya Kijamii Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Kulazwa nchini Ujerumani.
![](https://3.bp.blogspot.com/-oJh2Cn9yQak/VINKdRvDW8I/AAAAAAADJj4/0uJNUkCOwzk/s1600/28138-mmg24051.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qHcmC4yyDpE/VINK3s8Ur5I/AAAAAAADJkI/sMkDVFsuX7A/s1600/l1.jpg)
Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e9F1P5l92QI/U0o_1CzwhYI/AAAAAAAACTQ/-T-ikpVF414/s72-c/2014-04-13+08.52.50.jpg)
HOFU YA KUTOKEA MAFURIKO,WAKAZI WA KATA YA MABOGINI-KILIMANJARO WAITANA MSARAGAMBO KUZIBA MAPITIO YA MAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-e9F1P5l92QI/U0o_1CzwhYI/AAAAAAAACTQ/-T-ikpVF414/s1600/2014-04-13+08.52.50.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_75-CgP1jKQ/U0o-Y-DWTsI/AAAAAAAACSQ/8yAnQLOCt6U/s1600/2014-04-13+08.39.23.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MzwnQfUfbPY/U0o-lCQVsXI/AAAAAAAACSY/IknDFLqgZNE/s1600/2014-04-13+08.39.50.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JhOyUWX4lfI/U0o-tTgFapI/AAAAAAAACSg/kQC0f-tELIE/s1600/2014-04-13+08.41.00.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-m570eEfql5g/U0o_HpblbwI/AAAAAAAACSw/liqW0rOaHWQ/s1600/2014-04-13+08.41.35.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fZIpjmG5sQY/U0o_TI_uDTI/AAAAAAAACS4/g0-vwN9mnpc/s1600/2014-04-13+08.48.32.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sr4J4G-zmjA/U0o_oUCpkRI/AAAAAAAACTI/X65l87Ap9TE/s1600/2014-04-13+08.48.37.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_z74GyTppZM/U0o_lG_FkCI/AAAAAAAACTA/Xe0_yBDp9i0/s1600/2014-04-13+08.49.14.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uejo9W5l2KY/U0pABSHPdJI/AAAAAAAACTY/VpjjRxQ_wTg/s1600/2014-04-13+09.07.46.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA KWA KUSHIRIKIANA NA (TAHA) AONGOZA WADAU WA HORTICULTURE MAPOKEZI YA NDEGE YA MIZIGO UWANJA WA NDEGE WA (KIA)
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA KWA KUSHIRIKIANA NA (TAHA) AONGOZA WADAU WA HORTICULTURE MAPOKEZI YA NDEGE YA MIZIGO UWANJA WA NDEGE WA KILIMANJARO
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-HFELt3bAk6E/VMl3MRx0G0I/AAAAAAAACnA/El8ROLoVekA/s72-c/Blue%2BFlyier.png)
USAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBARUSAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-HFELt3bAk6E/VMl3MRx0G0I/AAAAAAAACnA/El8ROLoVekA/s1600/Blue%2BFlyier.png)
11 years ago
Habarileo09 May
Mbunge amtaka Waziri ajiuzulu
MBUNGE wa Konde, Khatibu Said Haji (CUF), amemtaka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika kujiuzulu kwa kushindwa kuisimamia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kukamata mafisadi wakubwa.
11 years ago
Habarileo14 Dec
Mbunge- Naibu Waziri anapendelea
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), ametoa shutuma nzito bungeni jana dhidi ya Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi), Agrey Mwanri, kuwa anapendelea baadhi ya wilaya ikiwemo jimbo lake kwa kuzipatia magari mengi ya kubebea wagonjwa huku maeneo mengine yakisahauliwa.
11 years ago
Habarileo11 May
Mbunge- Waziri atafute kazi nyingine
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM) amesema haiingii akilini kuona Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika kuendelea kuwa madarakani licha ya kushindwa kusimamia maeneo muhimu ya kilimo kama wakulima kupelekewa mbegu na mbolea bandia.
10 years ago
StarTV02 Dec
Mbunge amchongea Waziri Mkuu Pinda kwa Kinana.
Na Joseph Mpangala, Mtwara.
Mbunge wa Mtwara Mjini Hasnain Murji amemlalamikia Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa kushindwa kutoa kibali cha kuruhusu ulipaji wa fidia katika viwanja vya wakazi wa Mtwara ambavyo tayari vimepimwa na pesa kutoka Manispaa hiyo ipo tayari kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita.
Murji amesema amekutana na Waziri Mkuu mara tano lakini amekuwa akizungushwa kupata kibali jambo linalochangia ucheleweshwaji wa maendeleo ya ujenzi wa nyumba kwa wakazi wa maeneo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10