Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge amtaka Waziri ajiuzulu

MBUNGE wa Konde, Khatibu Said Haji (CUF), amemtaka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika kujiuzulu kwa kushindwa kuisimamia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kukamata mafisadi wakubwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kinana amtaka Maalim Seif ajiuzulu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad, kama kweli hataki Muungano wa serikali mbili, amuandikie barua Rais wa Zanzibar, Dk Mohamed Shein na kujiuzulu wadhifa wake wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Halima Mdee amtaka Prof. Tibaijuka ajiuzulu

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ametakiwa kujiuzulu kutokana na kuonyesha kupwaya katika nafasi yake na kushindwa kutatua mgogoro wa ardhi wa shamba la Kapunga,...

 

10 years ago

Vijimambo

Freeman Mbowe........Amtaka AJIUZULU Maana Amekiabisha Chama Kwa Hukumu Aliyopewa.


KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amemtaka Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe kujiuzulu uenyekiti kwa kile alichosema amekiaibisha chama kwa hukumu aliyopewa hivi karibuni.
Mbowe alihukumiwa hivi karibuni kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Sh milioni moja baada ya kutiwa hatiani na mahakama mkoani Kilimanjaro kwa kosa la kumpiga Msimamizi wa Uchaguzi mwaka 2010.Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika Kata...

 

10 years ago

Michuzi

ZITTO ; FILIKUNJOMBE NI MCHAPAKAZI MZURI, CHIKU AMTAKA MBUNGE MSIGWA AONYESHE ALICHOFANYA JIMBONI

Ziito Kabwe  akiwa na mume  wa Chiku Abwao na Chiku Abwao  na kada wa ACT wazalendo. Zitto kabwe  akiwa na wapambanaji Zitto kabwe  akiwahutubia  wananchi wa jimbo la Iringa mjini Chiku  Abwao  akiwahutubia wananchi wa jimbo la Iringa mjini Mgombe  udiwani wa kata ya Mvinjeni Abuu Majeck akimpongeza mgombea  ubunge jimbo la Iri nga mjini Chiku Abwa.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

11 years ago

GPL

WAZIRI KAGASHEKI AJIUZULU

Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki. Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki, amejiuzulu bungeni hivi punde baada ya kutakiwa na wabunge awajibike kwa vitendo viovu vilivyofanywa na wanausalama wakati wa Operesheni…

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri wa madini ajiuzulu Tanzania

Waziri wa kawi na madini nchini Tanzania Profesa Sospeter Muhongo amejiuzulu

 

11 years ago

BBCSwahili

Waziri wa uhamiaji wa Uingereza ajiuzulu

Waziri wa uhamiaji wa UIngereza aliyeajiri mhamiaji asiyekuwa na kibali, ajiuzulu

 

11 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Ukraine ajiuzulu

Rais wa Ukraine, Viktor Yanu-kovich, amekubali ombi la kujiuzulu kwa waziri mkuu wa taifa hilo, Mykola Azrov, pamoja na baraza lote la mawaziri

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani