Mbunge amtaka Waziri ajiuzulu
MBUNGE wa Konde, Khatibu Said Haji (CUF), amemtaka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika kujiuzulu kwa kushindwa kuisimamia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kukamata mafisadi wakubwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo05 May
Kinana amtaka Maalim Seif ajiuzulu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad, kama kweli hataki Muungano wa serikali mbili, amuandikie barua Rais wa Zanzibar, Dk Mohamed Shein na kujiuzulu wadhifa wake wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Halima Mdee amtaka Prof. Tibaijuka ajiuzulu
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ametakiwa kujiuzulu kutokana na kuonyesha kupwaya katika nafasi yake na kushindwa kutatua mgogoro wa ardhi wa shamba la Kapunga,...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gr9WRGiyCjA/VYUGxv7e0FI/AAAAAAAAwBY/d_g0OdjcWLI/s72-c/napee.png)
Freeman Mbowe........Amtaka AJIUZULU Maana Amekiabisha Chama Kwa Hukumu Aliyopewa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-gr9WRGiyCjA/VYUGxv7e0FI/AAAAAAAAwBY/d_g0OdjcWLI/s640/napee.png)
Mbowe alihukumiwa hivi karibuni kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Sh milioni moja baada ya kutiwa hatiani na mahakama mkoani Kilimanjaro kwa kosa la kumpiga Msimamizi wa Uchaguzi mwaka 2010.Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika Kata...
10 years ago
MichuziZITTO ; FILIKUNJOMBE NI MCHAPAKAZI MZURI, CHIKU AMTAKA MBUNGE MSIGWA AONYESHE ALICHOFANYA JIMBONI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WAZIRI KAGASHEKI AJIUZULU
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Waziri wa madini ajiuzulu Tanzania
11 years ago
BBCSwahili08 Feb
Waziri wa uhamiaji wa Uingereza ajiuzulu
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Waziri mkuu wa Ukraine ajiuzulu