Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mizigo yatesa CCM

UTEUZI wa mawaziri uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete wiki iliyopita, umekimega mapande mawili yanayotishia mustakabali wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Daima Jumapili, limebaini. Kabla ya uteuzi huo, Kamati Kuu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Mizigo’ itaisambaratisha CCM

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amenukuliwa siku za hivi karibuni akisema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kisitafute dawa ya mawaziri ‘mizigo’, badala yake wamwajibishe...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mawaziri mizigo waipasua CCM

HALI si shwari ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kufuatia uteuzi wa mawaziri uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni ambapo sasa makundi mbalimbali yameanza kuibuka na kushambuliana kwa maneno...

 

11 years ago

BBCSwahili

Onyo la CCM kwa mawaziri 'mizigo'

Chama tawala TZ,CCM, kimeonya kwamba, hakitasita kuwachukulia hatua kali watendaji wa serikali wakiwemo mawaziri watakaoshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo.

 

10 years ago

Habarileo

CCM kutovumilia watendaji mizigo serikali za mitaa

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Mara, Christopher Sanya amesema kuwa chama hicho hakitavumilia viongozi wake wa Serikali za Mitaa waliochaguliwa katika uchaguzi uliofanyika jana ambao hawatawajibika ipasavyo kwa wananchi waliowachagua.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wa CCM wawakalia kooni mawaziri mizigo

Wabunge 160 wa CCM wamejiorodhesha kuomba kuitishwa kwa kikao cha Kamati ya Wabunge hao kwa lengo la kuwajadili mawaziri wanaotajwa kuwa mizigo.

 

11 years ago

Mwananchi

CCM leo kutoa ufafanuzi kuhusu mawaziri mizigo

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema leo kitatoa ufafanuzi kuhusu mawaziri walioshindwa kutekeleza majukumu yao lakini hawajaguswa, licha ya Rais Jakaya Kikwete kufanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na kuwatosa mawaziri watano.

 

11 years ago

Habarileo

Mvua yatesa abiria saa 12

Rais Jakaya Kikwete pamoja na mkewe, Mama Salma Kikwete na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza wakikagua mafuriko yaliyoharibu vibaya barabara ya Chalinze hadi Dar es Salaam, eneo la Ruvu Darajani jana. Mamia ya abiria walikwama kutokana na mafuriko hayo. (Picha na Ikulu).MVUA iliyoanza kunyesha mwishoni mwa wiki, imeendelea kuleta kizaazaa katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwemo kusababisha maelfu ya abiria kukwama kusafiri kati ya Dar es Salaam na mikoa mingine kupitia Barabara ya Morogoro.

 

10 years ago

Mtanzania

Fasheni ya Chenge yatesa Baraza la Maadili

chengeNa Aziza Masoud, Dar es Salaam
BARAZA la Maadili kwa mara nyingine jana limeshindwa kumhoji Loicy Appollo, ambaye ni Naibu Kamishna Upepelezi wa Kodi katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), anayedaiwa kupata mgawo wa fedha za Escrow, baada ya kutumia mbinu ya Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge ya kukimbilia mahakamani.
Appollo, ambaye anadaiwa kupata mgawo wa Sh milioni 80.8, alikataa kuhojiwa jana kwa kudai kuwa shauri hilo lilishawekewa pingamizi Mahakama Kuu.
Kigogo huyo amekuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

NIC yatesa :netball Afrika Mashariki

Mabingwa watetezi wa michuano ya mpira wa pete kwa nchi za Afrika ya Mashariki, NIC ya Uganda inatetea vema ubingwa wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani