CCM kutovumilia watendaji mizigo serikali za mitaa
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Mara, Christopher Sanya amesema kuwa chama hicho hakitavumilia viongozi wake wa Serikali za Mitaa waliochaguliwa katika uchaguzi uliofanyika jana ambao hawatawajibika ipasavyo kwa wananchi waliowachagua.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Mar
TALGWU yawataka watendaji Serikali za Mitaa Singida kuisoma Katiba pendekezwa
Mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa (TALGWU) nchini, Seleman Kikango, akifungua kikao cha uchaguzi kilichofanyika mjini hapa.Wa kwanza kulia ni Mwenyekiti wa tawi la TALGWU makao makuu, Julius Manning na kushoto ni Mweka hazina wa TALGWU Taifa, Siston Mizengo.
Mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa (TALGWU) (wa kwanza kushoto), Seleman Kikango, akishiriki kuimba wimbo wa mshikamano kwenye mkutano wa uchaguzi wa chama hicho uliofanyika mjini hapa. Wa...
5 years ago
CCM BlogVIONGOZI, WATENDAJI WILAYANI UBUNGO WANOLEWA KUWAONGEZEA UWEZO KATIKA USIMAMIZI NA UENEDESHAJI SERIKALI ZA MITAA
Na Bashir Nkoromo, Ubungo
Wenyeviti na Watendaji wa Serikali za Mitaa, Watendaji wa Kata...
10 years ago
Mwananchi17 Oct
CCM wakuna vichwa Uchaguzi Serikali za Mitaa
10 years ago
Habarileo20 Nov
CCM itashinda uchaguzi serikali za mitaa - Wassira
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira amezungumzia mbio za urais ndani ya CCM na kusema kishindo cha vikumbo vya wagombea ni ishara tosha kwamba kinakubalika.
10 years ago
Habarileo15 Sep
CCM yaweka mikakati ya Uchaguzi Serikali Mitaa
KATIKA kuhakikisha kinafanya vyema katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwishoni mwa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kimepanga kuzitumia siku za Jumamosi kwa mikutano ya kisiasa katika kata zote za manispaa hiyo.
10 years ago
StarTV17 Dec
Serikali za Mitaa, CCM yajivunia ushindi wa asilimia 84
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Chama cha Mapinduzi CCM kimesema matokeo ya uchaguzi wa Serikali za mitaa yaliyopatikana kwenye maeneo yaliyofanikiwa kufanya uchaguzi huo yanaonyesha chama hicho kushinda kwa asilimia 84.
Matokeo hayo, hayaunganishwi na yale yaliyofutiwa uchaguzi huo.
Wakati chama hicho kikieleza kuridhishwa na matokeo hayo ya ushindi, kwa upande mwingine kinasema kimesikitishwa na mapungufu yaliyojitokeza na kutaka hatua za haraka kuchukuliwa.
Hata hivyo Katibu wa...
10 years ago
Mwananchi18 Dec
CCM ‘yapoteza’ viti 2,600 Serikali za Mitaa
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Kamati Kuu CCM yamteua Mangula kuongoza kamati maalum kuandaa ilani ya CCM uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba, ambapo aliwaeleza kuwa Kamati Kuu imemteua Ndugu Philipo Mangula kuongoza Timu ya Kamati Maalum ya CCM itakayoandaa Ilani ya CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pia Kamati Kuu imemteua Ndugu Adam Kimbisa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uhuru Media tarehe 16 Julai 2014.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
10 years ago
Mwananchi18 Feb
CCM itatua mzigo wa makosa ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?