TALGWU yawataka watendaji Serikali za Mitaa Singida kuisoma Katiba pendekezwa
Mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa (TALGWU) nchini, Seleman Kikango, akifungua kikao cha uchaguzi kilichofanyika mjini hapa.Wa kwanza kulia ni Mwenyekiti wa tawi la TALGWU makao makuu, Julius Manning na kushoto ni Mweka hazina wa TALGWU Taifa, Siston Mizengo.
Mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa (TALGWU) (wa kwanza kushoto), Seleman Kikango, akishiriki kuimba wimbo wa mshikamano kwenye mkutano wa uchaguzi wa chama hicho uliofanyika mjini hapa. Wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Wakatoliki watakiwa kuisoma Katiba pendekezwa
WAKRISTO wa dhehebu la Katoliki nchini wametakiwa kuisoma kwa makini Katiba inayopendekezwa kabla ya kupiga kura ya maoni ili kufanya chaguo sahihi. Hayo yalisemwa juzi na Paroko wa Parokia ya...
10 years ago
StarTV28 Dec
Watanzania waaswa kuisoma na kuielewa katiba pendekezwa.
Na Emmanuel Makuliga
Mwanza
Askofu wa jimbo kuu la Mwanza Jude Thaddeus Ruwa’ichi ameitahadharisha jamii kuwa haipaswi kutumia ushabiki, mkumbo, hasira wala upendeleo kuipigia kura ya ndiyo au hapana Katiba inayopendekezwa.
Kauli ya Askofu Ruwa’ichi inakuja zikiwa zimesalia siku chache kabla ya Katiba hiyo kupigiwa kura na wananchi.
Wito huo umetolewa katika Ibada ya Misa Takatifu ya kutoa daraja la ushemasi kwa mafrateli watano wa Jimbo Kuu la Mwanza.
Askofu Ruwa’ichi anawasisitiza...
10 years ago
StarTV02 Feb
Wazanzibari wahimizwa kuisoma, kuielewa katiba pendekezwa.
Na Abdalla Pandu,
Zanzibar.
Wazanzibari wametakiwa kuisoma kwa makini Katiba inayopendekezwa kwa lengo la kujua umuhimu wake kabla ya kuipigia kura.
Vipengele vya Katiba hiyo vimeangalia namna ya kukomesha vitendo vya udhalilishaji vinavyoendelea kushika kasi bila ya kuwepo kwa sheria madhubuti ya kudhibiti uhalifu na wahalifu wa vitendo hivyo.
Waziri wa Ustawi wa Jamii, Wanawake na Watoto Zanzibar Zainab Omar akiwa katika mkutano wa hadhara mara baada ya kumaliza ziara kwa Katibu mkuu wa...
10 years ago
Habarileo15 Dec
CCM kutovumilia watendaji mizigo serikali za mitaa
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Mara, Christopher Sanya amesema kuwa chama hicho hakitavumilia viongozi wake wa Serikali za Mitaa waliochaguliwa katika uchaguzi uliofanyika jana ambao hawatawajibika ipasavyo kwa wananchi waliowachagua.
5 years ago
CCM BlogVIONGOZI, WATENDAJI WILAYANI UBUNGO WANOLEWA KUWAONGEZEA UWEZO KATIKA USIMAMIZI NA UENEDESHAJI SERIKALI ZA MITAA
Na Bashir Nkoromo, Ubungo
Wenyeviti na Watendaji wa Serikali za Mitaa, Watendaji wa Kata...
10 years ago
Dewji Blog19 Nov
Singida wajipanga kufanikisha uchaguzi wa serikali za mitaa
Mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina, akitangaza ratiba ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka huu,mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani).
Na Nathaniel Limu, Singida
HALMASHAURI ya manispaa ya Singida,imejipanga vema kwa ajili ya kuhakikisha uchaguzi wa serikali za mitaa 2014, unakuwa huru,haki na wa amani.
Hayo yamesemwa na msimamizi wa uchaguzi wa manispaa hiyo, Joseph Mchina, wakati akitangaza ratiba ya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu mbele ya waandishi...
10 years ago
Dewji Blog15 Dec
Chama cha Mapinduzi chazoa viti vyote serikali za mitaa manispaa ya Singida
Mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina akitoa taarifa ya matokeo ya jumla ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vitongoji na vijijini manispaa ya Singida. (picha na maktaba).
Na Nathaniel Limu, Singida
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) manispaa ya Singida,imeibuka kidedea baada ya kuzoa nafasi zote 50 za uenyeviti wa mitaa, sawa na aslimia mia moja kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliomalizika juzi.
Hayo yamesemwa na msimamiziwa uchaguzi huo manispaa ya Singida, Joseph Mchina,wakati...
11 years ago
Dewji Blog10 Apr
Mwenyekiti Jumuiya ya wazazi (CCM) Singida amewahimiza wanaCCM kushiriki uchaguzi wa serikali ya mitaa
Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi (CCM) mkoa wa Singida, Yusuph Mwandami (wa kwanza kushoto) akiingia kwenye viwanja vya shule ya msingi kijiji cha Manguamitogho manispaa ya Singida, kwa ajili ya kuhutubia wana CCM na wananchi wa manispaa ya Singida kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya wazazi kimkoa.Wa pili kushoto ni mchumi wa manispaa ya Singida, Mollel.
Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi (CCM) mkoa wa Singida, Yusuph Mwandami, akipanda mti ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya...
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 na Katiba Mpya