VIONGOZI, WATENDAJI WILAYANI UBUNGO WANOLEWA KUWAONGEZEA UWEZO KATIKA USIMAMIZI NA UENEDESHAJI SERIKALI ZA MITAA
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Dar es Salaam, Kisare Makori akifungua mafunzo elekezi kwa Wenyeviti na Watendaji wa Serikali za Mitaa, Watendaji wa Kata na Wakuu wa Idara katika Wilaya hiyo, leo katika Ukumbi wa Little Flower, Mbezi. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ubungo Lucas Mgonja na Mkurugenzi wa halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic. KWA PICHA ZAIDI ZA MAFUNZO HAYO, TAFADHALI>> BOFYA HAPA
Na Bashir Nkoromo, Ubungo
Wenyeviti na Watendaji wa Serikali za Mitaa, Watendaji wa Kata...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jRpUOveKFs8/VcuqFT28fII/AAAAAAAHwQ8/mI3UiBxHN58/s72-c/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
VIONGOZI WA KATA NA MITAA WA MANISPAA YA DODOMA WAPIGWA MSASA JUU YA USIMAMIZI UENDELEZAJI WA MJI HUO
![](http://2.bp.blogspot.com/-jRpUOveKFs8/VcuqFT28fII/AAAAAAAHwQ8/mI3UiBxHN58/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qI_lilQWOeE/VcuqGm_vgHI/AAAAAAAHwRQ/uik-H-eE-QI/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
10 years ago
StarTV17 Dec
Uchaguzi Serikali za Mitaa, CCM Mwanza chalalamikia usimamizi mbovu.
Na Maliganya Charahani, Mwanza.ALIGANYA
Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza kimelalamikia utaratibu mbovu wa wasimamizi wa zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa kuchangia baadhi ya wananchi kushindwa kupiga kura na wengine kukosa majina yao katika daftari la kumbukumbu.
Dosari kubwa zinatajwa na CCM kujitokeza katika wilaya za Sengerema na Kwimba kubwa likielezwa ni kuchelewa kufika kwa vifaa vya kupigia kura.
Mbali na lawama hizo za CCM, nacho Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
10 years ago
Habarileo15 Dec
CCM kutovumilia watendaji mizigo serikali za mitaa
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Mara, Christopher Sanya amesema kuwa chama hicho hakitavumilia viongozi wake wa Serikali za Mitaa waliochaguliwa katika uchaguzi uliofanyika jana ambao hawatawajibika ipasavyo kwa wananchi waliowachagua.
10 years ago
Dewji Blog15 Mar
TALGWU yawataka watendaji Serikali za Mitaa Singida kuisoma Katiba pendekezwa
Mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa (TALGWU) nchini, Seleman Kikango, akifungua kikao cha uchaguzi kilichofanyika mjini hapa.Wa kwanza kulia ni Mwenyekiti wa tawi la TALGWU makao makuu, Julius Manning na kushoto ni Mweka hazina wa TALGWU Taifa, Siston Mizengo.
Mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa (TALGWU) (wa kwanza kushoto), Seleman Kikango, akishiriki kuimba wimbo wa mshikamano kwenye mkutano wa uchaguzi wa chama hicho uliofanyika mjini hapa. Wa...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6Yv-sJgXl7U/default.jpg)
WATENDAJI WA SERIKALI WILAYANI KARATU WAMETAKIWA KUTEKELEZA AMRI YA RAIS
9 years ago
MichuziWAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdg1AmVPKK*nrEyTwX2tOgDKOgfGRB0yPA2CB50ZgVDYBPoRdBQoTQatd6Qp8oBqzSCTBqunyKHtNxn60iHZi1cV/globalwhatsap4.jpg)
VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA WAAPISHWA DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OTy09JC_XMI/VFDpSW1SzsI/AAAAAAAGuE8/eP1dVxC5XSM/s72-c/UntitledO1.png)
Viongozi Watendaji wa Serikali wakutana kujadili mifumo ya ufuatiliaji na tathmini
“Napenda kuishukuru sana Taasisi ya Uongozi, na Mtendaji wake Mkuu, Prof. Joseph Semboja, kwa mchango wao mkubwa...
10 years ago
GPLKAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA(LAAC) YATEMBELEA SKIMU YA UMWAGILIAJI YA MANGORA WILAYANI KARATU