Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIONGOZI, WATENDAJI WILAYANI UBUNGO WANOLEWA KUWAONGEZEA UWEZO KATIKA USIMAMIZI NA UENEDESHAJI SERIKALI ZA MITAA

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Dar es Salaam, Kisare Makori akifungua mafunzo elekezi kwa Wenyeviti na Watendaji wa Serikali za Mitaa, Watendaji wa Kata na Wakuu wa Idara katika Wilaya hiyo, leo katika Ukumbi wa Little Flower, Mbezi. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ubungo Lucas Mgonja na Mkurugenzi wa halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic. KWA PICHA ZAIDI ZA MAFUNZO HAYO, TAFADHALI>> BOFYA HAPA


Na Bashir Nkoromo, Ubungo
Wenyeviti na Watendaji wa Serikali za Mitaa, Watendaji wa Kata...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA KATA NA MITAA WA MANISPAA YA DODOMA WAPIGWA MSASA JUU YA USIMAMIZI UENDELEZAJI WA MJI HUO

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akifungua warsha ya uelimishaji juu ya usimamizi uendelezaji wa mji wa Dodoma kwa viongozi wa kata na mitaa wa Manispaa ya Dodoma iliyofanyika leo kwenye hoteli ya Morena Mjini Dodoma. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu CDA Ndg. Paskasi Muragili akitoa maelezo ya ufafanuzi juu ya warsha ya uelimishaji juu ya usimamizi uendelezaji wa mji wa Dodoma kwa viongozi wa kata na mitaa wa Manispaa ya Dodoma iliyofanyika leo kwenye...

 

10 years ago

StarTV

Uchaguzi Serikali za Mitaa, CCM Mwanza chalalamikia usimamizi mbovu.

Na Maliganya Charahani, Mwanza.ALIGANYA

 

 

Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza kimelalamikia utaratibu mbovu wa wasimamizi wa zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa kuchangia baadhi ya wananchi kushindwa kupiga kura na wengine kukosa majina yao katika daftari la kumbukumbu.

Dosari kubwa zinatajwa na CCM kujitokeza katika wilaya za Sengerema na Kwimba kubwa likielezwa ni kuchelewa kufika kwa vifaa vya kupigia kura.

Mbali na lawama hizo za CCM, nacho Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

10 years ago

Habarileo

CCM kutovumilia watendaji mizigo serikali za mitaa

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Mara, Christopher Sanya amesema kuwa chama hicho hakitavumilia viongozi wake wa Serikali za Mitaa waliochaguliwa katika uchaguzi uliofanyika jana ambao hawatawajibika ipasavyo kwa wananchi waliowachagua.

 

10 years ago

Dewji Blog

TALGWU yawataka watendaji Serikali za Mitaa Singida kuisoma Katiba pendekezwa

DSC04540

Mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa (TALGWU) nchini,  Seleman Kikango, akifungua kikao cha uchaguzi kilichofanyika mjini hapa.Wa kwanza kulia ni Mwenyekiti wa tawi la TALGWU makao makuu, Julius Manning na kushoto ni Mweka hazina wa TALGWU Taifa, Siston Mizengo.

DSC04532

Mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa (TALGWU) (wa kwanza kushoto), Seleman Kikango, akishiriki kuimba wimbo wa mshikamano kwenye mkutano wa uchaguzi wa chama hicho uliofanyika mjini hapa. Wa...

 

9 years ago

Michuzi

WATENDAJI WA SERIKALI WILAYANI KARATU WAMETAKIWA KUTEKELEZA AMRI YA RAIS

Watendaji wa Serikali wilayani Karatu wametakiwa kutekeleza amri ya Rais kwa kusimamia masuala ya usafi katika maeneo yao.

 

9 years ago

Michuzi

WAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.

Washiriki wa Semina ya wadau watakaoshiriki katika Utafiti wa Ujifunzaji wa Watoto (Wanafunzi) walio na Umri kati ya Miaka Saba hadi 16 katika Kusoma Kiswahili, Kiingereza na Kufanya Hesabu inayofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime kuanzia leo Septemba 22,2015 hadi kesho Septemba 23, 2015 wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Enock Waitara (Wa pili kushoto Waliokaa) ambae ni Afisa Elimu Wilaya ya Tarime Mkoani Mara.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...

 

10 years ago

GPL

VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA WAAPISHWA DAR

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Mussa Natty, akiongea na wanahabari katika hotel ya Landmark Ubungo jijini Dar leo.…

 

10 years ago

Michuzi

Viongozi Watendaji wa Serikali wakutana kujadili mifumo ya ufuatiliaji na tathmini

Mkutano wa faragha wa Makatibu Wakuu, Naibu Makatibu Wakuu na Makatibu Tawala wa Mikoa umeandaliwa na ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi ikishirikiana na UONGOZI Institute yenye lengo kuu ya viongozi hawa kujadiliana kuhusu mada kuu ya Mifumo ya Ufuatiliaji na Tathmin, pamoja na maswala mbali mbali za kitaifa. Mkutano huu wa siku mbili ulifanyika tarehe 27-28 Oktoba, 2014 mjini Dodoma.
“Napenda kuishukuru sana Taasisi ya Uongozi, na Mtendaji wake Mkuu, Prof. Joseph Semboja, kwa mchango wao mkubwa...

 

10 years ago

GPL

KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA(LAAC) YATEMBELEA SKIMU YA UMWAGILIAJI YA MANGORA WILAYANI KARATU

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa,(LAAC) ikitembelea kukagua mradi wa umwagiliaji wa Skimu ya Mang'ora wilayani Karatu. Baadhi ya Mashamba ya Vitunguu katika skimu ya umwagiliaji ya Mang'ora.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani