Fasheni ya Chenge yatesa Baraza la Maadili
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
BARAZA la Maadili kwa mara nyingine jana limeshindwa kumhoji Loicy Appollo, ambaye ni Naibu Kamishna Upepelezi wa Kodi katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), anayedaiwa kupata mgawo wa fedha za Escrow, baada ya kutumia mbinu ya Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge ya kukimbilia mahakamani.
Appollo, ambaye anadaiwa kupata mgawo wa Sh milioni 80.8, alikataa kuhojiwa jana kwa kudai kuwa shauri hilo lilishawekewa pingamizi Mahakama Kuu.
Kigogo huyo amekuwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Chenge kuhojiwa na Baraza la Maadili leo
10 years ago
StarTV26 Feb
Chenge agoma kuhojiwa Baraza la Maadili ya Umma.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam
Mbunge wa Bariadi Magharibi, CCM, Andrew Chenge amegoma kuhojiwa na Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma iliyomwita kwa mahojiano dhidi ya tuhuma zinazomkabili za kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma, baada ya kuwasilisha hoja ya kutaka kusimamishwa kwa mahojiano hayo, kwa kuwa suala hilo liko Mahakamani.
Kwa mujibu wa Hati ya Malalamiko iliyotolewa na Sekretarieti ya Maadili ya Umma, Chenge anakabiliwa na Makosa ya...
10 years ago
Habarileo05 May
Chenge azidi kulibana Bunge, Baraza la Maadili
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge amewasilisha ombi akiiomba Mahakama itoe zuio kwa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali na Baraza la Maadili la Viongozi kuendelea kushughulikia malalamiko yake ya kudaiwa kupokea fedha kutoka akaunti ya Tegeta Escrow.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
SAKATA LA ESCROW: ANDREW CHENGE AMEKATAA KUHOJIWA NA BARAZA LA SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tC0Ms9m0wIc/XmikI5QGaLI/AAAAAAALijE/aVrHM5nd75UcGd4g4AblUiQqaO9rvnBDgCLcBGAsYHQ/s72-c/picha%2B1.jpg)
Wajumbe wa Baraza la Maadili wafanya Ziara Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma
![](https://1.bp.blogspot.com/-tC0Ms9m0wIc/XmikI5QGaLI/AAAAAAALijE/aVrHM5nd75UcGd4g4AblUiQqaO9rvnBDgCLcBGAsYHQ/s640/picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-l5XlGmBTCic/XmikI1Bv_uI/AAAAAAALijM/Go9M5LmME3wzjeVSCXYFLMS-kTNmsEO7ACLcBGAsYHQ/s640/picha%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-K39u0MN_Ukg/VD6vGCFlaNI/AAAAAAAGqt0/b4nhcBByfs0/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
Mashahidi walieleza Baraza la Maadili jinsi Mkuu wa Wilaya ya Korogwe alivyokiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Ngeleja,Chenge wapelekwa Maadili
10 years ago
GPLCHENGE AKATA RUFAA TUME YA MAADILI
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Exclusive: Chenge apandishwa ‘kizimbani’ ahojiwa kukiuka maadili ya viongozi wa umma
Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge akijianda kutoka nje ya ukumbi wa Karimjee ausbuhi ya leo.
…Maamuzi magumu kutolewa kesho Februari 26
Na Andrew Chale wa modewjiblog
LISAA limoja lililopita Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge amepandishwa kizimbani katika kikaango cha kukiuka maadili ya viongozi wa umma, chini ya Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Baraza la Maadili lililoketi, jijini Dar es Saalam asubuhi ya leo.
Katika shauri linalomkabili Chenge ni dhidi ya...