Adam Kimbisa awawakia watendaji ‘wanaokumbatia wagombea urais’
 Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewataka watendaji wa CCM kukaa ofisini kufanya kazi badala ya kuzunguka mikoani kusafisha njia ya wagombea urais.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Ndoto za wagombea urais
10 years ago
Habarileo02 Feb
Wagombea urais CCM kitanzini
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amewaonya wanachama wa chama hicho, kuheshimu Katiba ya chama na kufuata taratibu katika kugombea nafasi za kuteuliwa katika uchaguzi wa mkuu ili wasije kukilaumu chama, endapo wataenguliwa na hivyo kushindwa kutimiza ndoto zao.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Sep
Mzaha uliotukuka wagombea 14 urais
Na Jabir Idrissa NITAMHESHIMU vilivyo Mwajuma Ali Khamis, mwanamke pekee aliyeingia kuwania wadhifa wa urais Zanzibar, lakini akakiri ufukara umemuangusha. Bi Mwajuma, ambaye sijajua ametokea wapi, amekua vipi, aliingia lini katika siasa mpaka kuthubutu kugombea, nitamheshimu […]
The post Mzaha uliotukuka wagombea 14 urais appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Wagombea urais wasikwepe midahalo
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Midahalo ya wagombea urais yaja
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Kivumbi wagombea urais 42 wa CCM
10 years ago
Mwananchi26 Jun
Wagombea urais CCM wagonga 40
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Mdahalo wa wagombea urais Oktoba 18
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Wagombea hawa wa urais walipatikanaje?