Wagombea hawa wa urais walipatikanaje?
Wengi wanaweza kueleza namna ambavyo CCM na Chadema waliweza kuwapata wagombea wao wa urais, lakini sio wote wanaweza kueleza michakato hiyo ilifanyikaje ndani ya vyama vya NRA, ADC, UPDP, TLP.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BBIzZGYFuXs/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Ndoto za wagombea urais
10 years ago
Habarileo17 Nov
Mzindakaya alipua wagombea urais
SIKU chache baada ya utafiti wa taasisi ya Twaweza kuanikwa na kuonekana kupandisha joto la uchaguzi mkuu wa mwaka kesho, mwanasiasa mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya ameibuka na kuwataka wagombea wa nafasi nyeti kama ya urais, kujikita katika siasa safi na za kisasa zaidi.
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Kivumbi wagombea urais 42 wa CCM
9 years ago
MichuziMDAHALO WA WAGOMBEA URAIS TANZANIA
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Ahadi za wagombea urais zinashangaza
AHADI lukuki zimetolewa na zinaendelea kutolewa kwa wapiga kura na wagombea urais wa Jamhuri ya M
Joseph Mihangwa
10 years ago
Mtanzania30 May
Wagombea urais wavunja rekodi
NA MWANDISHI WETU
IDADI ya makada wanaotajwa kujitosa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) sasa inaweza kufikia 30, baada ya wengine wengi kutarajia kujitokeza kuanzia wiki ijayo, MTANZANIA Jumamosi limedokezwa.
Taarifa zilizolifikia gazeti hili kutoka katika vyanzo mbalimbali vya habari ndani na nje ya CCM zinadai kuwa idadi hiyo inaweza kuongezeka na pengine hata kufikia wagombea 35, kutokana na baadhi ya makada waliohudhuria vikao vya juu vya chama...
10 years ago
Mwananchi01 Jun
Wafanyabiashara kuwabana wagombea urais
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Sep
Mzaha uliotukuka wagombea 14 urais
Na Jabir Idrissa NITAMHESHIMU vilivyo Mwajuma Ali Khamis, mwanamke pekee aliyeingia kuwania wadhifa wa urais Zanzibar, lakini akakiri ufukara umemuangusha. Bi Mwajuma, ambaye sijajua ametokea wapi, amekua vipi, aliingia lini katika siasa mpaka kuthubutu kugombea, nitamheshimu […]
The post Mzaha uliotukuka wagombea 14 urais appeared first on Mzalendo.net.