Hawa Ndio Wagombea Uraisi Waliohudhuria Madahalo Maalum Leo
![](http://img.youtube.com/vi/BBIzZGYFuXs/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Wagombea hawa wa urais walipatikanaje?
10 years ago
Vijimambo02 Dec
10 years ago
Bongo Movies27 Mar
Hawa Ndio Mastaa Hodari Kuficha Mimba
Kupata mimba ni jambo la heri na heshima kwa mwanamke. Mwanamke anaposhika mimba hujiona amekamilika lakini yule ambaye siku zinakwenda lakini kila akitega hanasi, hujisikia vibaya.
Hata hivyo, suala la ujauzito limekuwa likipokewa kwa hisia tofauti na mastaa wa Bongo. Wapo ambao wakipata mimba, dunia nzima itajua. Watajipiga picha na kuzitundika mtandaoni huku kila sehemu zenye mikusanyiko wakijiachia.
Lakini wapo ambao wakinasa, hata shughuli zao zinasimama. Hutawaona mtaani, wakiulizwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-pjUrS_GNONo/VSjd_9b6XPI/AAAAAAAAERQ/i-foXhytX8o/s72-c/profesar-j1.jpg)
HAWA NDIO WASANII WATAKAOGOMBEA UBUNGE KUPITIA CHADEMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-pjUrS_GNONo/VSjd_9b6XPI/AAAAAAAAERQ/i-foXhytX8o/s640/profesar-j1.jpg)
Hii tabia ya CHADEMA kutumia wasanii wa bongo fleva & movie kisiasa ni upunguani wa hali ya juu sana.Iweje leo hii kisa tu chama kinataka ruzuku ya kutosha kione ni vyema na sawa kuokota tu vijana wasio kuwa na maadili kutoka kwenye tasnia za muziki na movie na kuwanadi ili wawakilishe wananchi bungeni!? Huu ni wehu na kukosa kufikiri!
CHADEMA wamezindua mpango uitwao "Kujaa bungeni kivyovyote" na haya ya kujaza wasanii ndio mkakati wa kufanikisha mpango huo!
Kwa taarifa sahihi kutoka CHADEMA...