Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hawa Ndio Wagombea Uraisi Waliohudhuria Madahalo Maalum Leo

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wagombea hawa wa urais walipatikanaje?

Wengi wanaweza kueleza namna ambavyo CCM na Chadema waliweza kuwapata wagombea wao wa urais, lakini sio wote wanaweza kueleza michakato hiyo ilifanyikaje ndani ya vyama vya NRA, ADC, UPDP, TLP.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Bongo Movies

Hawa Ndio Mastaa Hodari Kuficha Mimba

Kupata mimba ni jambo la heri na heshima kwa mwanamke. Mwanamke anaposhika mimba hujiona amekamilika lakini yule ambaye siku zinakwenda lakini kila akitega hanasi, hujisikia vibaya.

Hata hivyo, suala la ujauzito limekuwa likipokewa kwa hisia tofauti na mastaa wa Bongo. Wapo ambao wakipata mimba, dunia nzima itajua. Watajipiga picha na kuzitundika mtandaoni huku kila sehemu zenye mikusanyiko wakijiachia.

Lakini wapo ambao wakinasa, hata shughuli zao zinasimama. Hutawaona mtaani, wakiulizwa...

 

10 years ago

Vijimambo

HAWA NDIO WASANII WATAKAOGOMBEA UBUNGE KUPITIA CHADEMA


Hii tabia ya CHADEMA kutumia wasanii wa bongo fleva & movie kisiasa ni upunguani wa hali ya juu sana.Iweje leo hii kisa tu chama kinataka ruzuku ya kutosha kione ni vyema na sawa kuokota tu vijana wasio kuwa na maadili kutoka kwenye tasnia za muziki na movie na kuwanadi ili wawakilishe wananchi bungeni!? Huu ni wehu na kukosa kufikiri!
CHADEMA wamezindua mpango uitwao "Kujaa bungeni kivyovyote" na haya ya kujaza wasanii ndio mkakati wa kufanikisha mpango huo!
Kwa taarifa sahihi kutoka CHADEMA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani