Wafanyabiashara kuwabana wagombea urais
>Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania, imejiandaa kuwabana wagombea wa urais kupitia mdahalo maalumu kwa lengo la kuwachuja ili kupata mtu atakayeweza kushughulikia kero zao na kukuza uchumi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Wafanyabiashara kuwapima wagombea
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Ndoto za wagombea urais
9 years ago
Mtanzania22 Aug
Wagombea wanne wapitishwa urais
Aziza Masoud na Grace Shitundu, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeteua wagombea urais wanane kati ya 13 waliochukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.
Idadi hiyo inataka kufanana na ile ya mwaka 2010 ambapo Tume hiyo iliteua wagombea saba kuwania nafasi hiyo.
Wagombea waliokidhi vigezo na kuteuliwa na NEC ni pamoja na Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na...
10 years ago
Habarileo02 Feb
Wagombea urais CCM kitanzini
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amewaonya wanachama wa chama hicho, kuheshimu Katiba ya chama na kufuata taratibu katika kugombea nafasi za kuteuliwa katika uchaguzi wa mkuu ili wasije kukilaumu chama, endapo wataenguliwa na hivyo kushindwa kutimiza ndoto zao.
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Kivumbi wagombea urais 42 wa CCM
10 years ago
Habarileo11 Jun
Wagombea urais CCM wafikia 28
IDADI ya wagombea nafasi ya Urais kupitia CCM sasa imefikia 28 baada ya jana makada wengine sita kuchukua fomu.
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Wagombea urais Tucta waonywa
WAJUMBE wa mkutano mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), wametakiwa kujitambua na kujitathmini pindi wanapotaka kugombea nafasi mbalimbali katika shirikisho hilo hususani urais. Rai hiyo ilitolewa na...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Wagombea hawa wa urais walipatikanaje?
9 years ago
Habarileo20 Aug
Wagombea urais wapewa somo
MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Alliance for Tanzania Farmers (AFP), Said Soud amewataka wagombea wenzake wa nafasi hiyo kuweka mbele uzalendo na si tamaa na ubinafsi wa madaraka.