Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzindakaya alipua wagombea urais

Dk Chrisant MzindakayaSIKU chache baada ya utafiti wa taasisi ya Twaweza kuanikwa na kuonekana kupandisha joto la uchaguzi mkuu wa mwaka kesho, mwanasiasa mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya ameibuka na kuwataka wagombea wa nafasi nyeti kama ya urais, kujikita katika siasa safi na za kisasa zaidi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ndoto za wagombea urais

W agombea urais John Magufuli (CCM), Edward Lowassa (Chadema) na Anna Mghwira (ACT-Wazalendo), wanaendelea kuomba ridhaa ya Watanzania ili kuunda Serikali ya Awamu ya Tano, huku kila mmoja akija na sera anayoamini kuwa ni nzuri na tofauti  na mwenzake.

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mzaha uliotukuka wagombea 14 urais

Na Jabir Idrissa NITAMHESHIMU vilivyo Mwajuma Ali Khamis, mwanamke pekee aliyeingia kuwania wadhifa wa urais Zanzibar, lakini akakiri ufukara umemuangusha. Bi Mwajuma, ambaye sijajua ametokea wapi, amekua vipi, aliingia lini katika siasa mpaka kuthubutu kugombea, nitamheshimu […]

The post Mzaha uliotukuka wagombea 14 urais appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara kuwabana wagombea urais

>Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania, imejiandaa kuwabana wagombea wa urais kupitia mdahalo maalumu kwa lengo la kuwachuja ili kupata mtu atakayeweza kushughulikia kero zao na kukuza uchumi.

 

10 years ago

Habarileo

Wagombea urais CCM wafikia 28

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaIDADI ya wagombea nafasi ya Urais kupitia CCM sasa imefikia 28 baada ya jana makada wengine sita kuchukua fomu.

 

10 years ago

Mwananchi

Midahalo ya wagombea urais yaja

Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa) na ITV/ Radio One wamesaini makubaliano ya kuandaa midahalo ya wagombea wa urais kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Wagombea urais wasikwepe midahalo

Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salam (Udasa) juzi ilitangaza mpango wake wa kuendesha midahalo ya wagombea urais wakati wa kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika mwezi Oktoba.

 

10 years ago

Michuzi

MDAHALO WA WAGOMBEA URAIS TANZANIA

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Anna Nghwira (kulia), na Mgombea nafasi hiyo kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Chifu Litayosa Yemba wakijibu maswali mbalimbali katika mdahalo wa wagombea urais ulioandaliwa na Taasisi ya Twaweza Dar es Salaam leo. Hata hivyo wagembea nafasi hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.John Magufuli na Edward Lowassa kupitia Chadema hawakuweza kuhudhuria kwa sababu mbalimbali. Waongozaji wa mdahalo huo wakiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wagombea hawa wa urais walipatikanaje?

Wengi wanaweza kueleza namna ambavyo CCM na Chadema waliweza kuwapata wagombea wao wa urais, lakini sio wote wanaweza kueleza michakato hiyo ilifanyikaje ndani ya vyama vya NRA, ADC, UPDP, TLP.

 

11 years ago

Mtanzania

Wagombea urais CCM wavurugwa

Abdulrahman Kinana

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana

NA ELIYA MBONEA, ARUSHA

KATIKA kile kinachoonekana ni kuvuruga kambi za wagombea urais mwaka 2015, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepangua makatibu wa mikoa 17 kwa kuwahamisha vituo vyao vya kazi.

Makatibu hao ni pamoja na Mary Chatanda aliyekuwa Mkoa wa Arusha, ambaye kwa sasa amehamishiwa Singida.

Chatanda kwa muda mrefu amekuwa na msuguano ndani ya Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Arusha, huku kiini chake kikidaiwa ni misimamo tofauti ya vijana hao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani