DIWANI AAPA KUSIMAMA NA MAGUFULI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-_RJ0uWxHV6s/XuC9GztmGmI/AAAAAAALtVM/YQIlUtXEPv464sW1ECOH5taZSIHqjOCeQCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
DIWANI AAPA KUSIMAMA NA MAGUFULI.
NA DENIS MLOWE, IRINGA
DIWANI wa Kata ya Mwangata iliyoko Manispaa ya Iringa,Nguvu Chengula ameapa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha Rais John Pombe Magufuri anashinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu wa 2020 unaotarajiwa kufanyika Oktoba.
Akizungumza na wanahabari kwenye ukumbi wa Boma, Chengula alisema kuwa atatumia jitihada zote pamoja na Mali anazomiliki kuhakikisha CCM inashinda chini ya Rais Magufuli kwa kutoa magari ya kampeni na vipaza sauti...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PqX1Y1ctR40/VPkCCe53ilI/AAAAAAAAR4Q/krJ-iKZpqrM/s72-c/IMG-20150305-WA0000.jpg)
Diwani Chadema, aapa kulala mlangoni pa mwekezaji. hadi wafanyakazi walipwe!
![](http://1.bp.blogspot.com/-PqX1Y1ctR40/VPkCCe53ilI/AAAAAAAAR4Q/krJ-iKZpqrM/s1600/IMG-20150305-WA0000.jpg)
DIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kata ya Mtibwa, Luka Mwakambaya, ameapa atalala mlangoni pa Mwekezaji wa Kiwanda cha Sukari Mtibwa, akishirikiana na wafanyakazi, hadi watakapolipwa mishahara yao ya miezi miwili wanayodai.
Akizungumza na Wafanyakazi nje ya lango la Kiwanda baada ya kumpigia simu kumlalamikia jinsi Mwekezaji alivyobadilisha maafikiano waliyoafikiana Jumatano Machi 4, mwaka huu kwaba kesho atawalipa mishahara yao,...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Dk Magufuli aapa kufa na makandarasi
9 years ago
Habarileo07 Oct
Magufuli aapa kumuenzi Sokoine
MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amesema endapo uchaguzi utafanyika leo, atashinda kwa asilimia 80, lakini akasema anachokifanya sasa ni kupita kwa wananchi ili kuongeza idadi ya kura kufikia asilimia zaidi ya 90.
10 years ago
Habarileo17 Jul
Magufuli aapa kulinda Muungano kwa nguvu
MGOMBEA wa Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema ataulinda Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964 kwa lengo la kuleta mshikamano na maendeleo kwa wananchi wa pande mbili za muungano wa Tanzania.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y8BSg_F8dfc/Xq7YB-cInwI/AAAAAAALo9E/SHhntzH-bMg42wifbuJyM1_VwDejaNLoQCLcBGAsYHQ/s72-c/magufuli-1.jpg)
DK.MAGUFULI AWASHANGAA VIONGOZI WA DINI WANAOZUIA WAUMINI WAO KWENDA NYUMBA ZA IBADA, AWATAKA KUSIMAMA KATIKA VIAPO VYAO
RAIS Dk.John Magufuli amesema kutokana na uwepo wa ugonjwa Covid-19 kuna baadhi ya viongozi wa dini wamemsahau Mungu ambaye wamekuwa wakituhubiria waumini wao kwa siku zote.
Akizungumza leo Mei 3 mwaka 2020, Rais Magufuli amesema kuwa inashangaza unapoona viongozi wa dini wanamsahau Mungu kwasababu tu ya uwepo wa Corona."Licha ya kuapa kwa dini zao, wamemuacha Mungu na kwenda kubaki kujali ubinadamu.Ndio wamekuwa wakihamasisha kuwaambia wamumini acheni kwenda...
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Diwani wa CHADEMA aliyeikubali kasi ya Rais Magufuli
Kasi ya Rais Magufuli na kila serikali yake inachokifanya kwa sasa kinaonekana na wengi, na kila mmoja anatoa yake ya moyoni kulinganisha na yale aliyoyaona…. mtazame Diwani wa Ubungo kwa ticket ya CHADEMA Boniface Jacob kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO […]
The post Diwani wa CHADEMA aliyeikubali kasi ya Rais Magufuli appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ELGT25fvD80/XuCKGPpYlKI/AAAAAAAAnxI/w_OucKJfX4cu1BM0xlGs7bbNOG4KTPoKwCLcBGAsYHQ/s72-c/2b472a9d-b07a-4722-94c3-1a65ff4116d4.jpg)
DIWANI AMUOMBEA DUA NJEMA NA KUMUOMBEA KURA RAIS DKT. MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ELGT25fvD80/XuCKGPpYlKI/AAAAAAAAnxI/w_OucKJfX4cu1BM0xlGs7bbNOG4KTPoKwCLcBGAsYHQ/s400/2b472a9d-b07a-4722-94c3-1a65ff4116d4.jpg)
TUSIMAME kwa dakika moja kumuombea Dua njema Rais wetu Dk. John Magufuli, pia wananchi tumpe tena kura nyingi katika uchaguzi unaokuja maana ametuongoza vizuri” alisema Diwani wa Kata ya Kigamboni Dotto Msawa.
Ombi hilo alilitoa Juni 9, 2020....
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-FHn0qNYXs/VdObqueZ3KI/AAAAAAAHyDU/-LYR5OpHWFY/s72-c/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
RAIS KIKWETE NA WAZIRI MAGUFULI KATIKA MAZISHI YA DIWANI WA KATA YA YOMBO, BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-FHn0qNYXs/VdObqueZ3KI/AAAAAAAHyDU/-LYR5OpHWFY/s640/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EBVPKVUb2Sg/VdObsxZyaSI/AAAAAAAHyDc/fuVFDSvt35Q/s640/unnamed%2B%252839%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-yAYpHm7aiMo/VdO5ApYzWOI/AAAAAAAD3is/D--C63biwDc/s72-c/bg1.jpg)
RAIS KIKWETE NA WAZIRI MAGUFULI KATIKA MAZISHI YA DIWANI WA KATA YA YOMBO, BAGAMOYO, LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-yAYpHm7aiMo/VdO5ApYzWOI/AAAAAAAD3is/D--C63biwDc/s640/bg1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BmUJm5YLqGQ/VdO5BEEUw_I/AAAAAAAD3iw/wpoWJLnJKyY/s640/bg2.jpg)