Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diwani Chadema, aapa kulala mlangoni pa mwekezaji. hadi wafanyakazi walipwe!

Na Bryceson Mathias, Mtibwa Mvomero.
DIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kata ya Mtibwa, Luka Mwakambaya, ameapa atalala mlangoni pa Mwekezaji wa Kiwanda cha Sukari Mtibwa, akishirikiana na wafanyakazi, hadi watakapolipwa mishahara yao ya miezi miwili wanayodai.

Akizungumza na Wafanyakazi nje ya lango la Kiwanda baada ya kumpigia simu kumlalamikia jinsi Mwekezaji alivyobadilisha maafikiano waliyoafikiana Jumatano Machi 4, mwaka huu kwaba kesho atawalipa mishahara yao,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DIWANI AAPA KUSIMAMA NA MAGUFULI.

DIWANI AAPA KUSIMAMA NA MAGUFULI.
NA DENIS MLOWE, IRINGA
DIWANI wa Kata ya Mwangata iliyoko Manispaa ya Iringa,Nguvu Chengula ameapa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha Rais John Pombe Magufuri anashinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu wa 2020 unaotarajiwa kufanyika Oktoba.
Akizungumza na wanahabari kwenye ukumbi wa Boma, Chengula alisema kuwa atatumia jitihada zote pamoja na Mali anazomiliki kuhakikisha CCM inashinda chini ya Rais Magufuli kwa kutoa magari ya kampeni na vipaza sauti...

 

10 years ago

Mwananchi

Wafanyakazi watishia kupoka shamba la mwekezaji

Wafanyakazi zaidi ya 107 katika shamba la mwekezaji la Lucy Estates, wameiomba Halmashauri ya Wilaya ya Arumeru iwasaidie kumshinikiza mwekezaji huyo awalipe fidia ya shamba la hekari 400 alizozitoa kwa ajili ya kuwalipa kama sehemu ya malipo yao kabla hawajaamua kuchukua hatua ya kuzipoka.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwekezaji adaiwa kutolipa mishahara ya wafanyakazi

Wafanyakazi 160 wa Shamba la Mipira la Kichwale linalomilikiwa na Kampuni ya Agro Tec Limited wamedai kutolipwa mishahara yao kwa zaidi ya miezi minne sasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Licha ya kupata mwekezaji; Usafirishaji mizigo waporomoka kutoka tani 1.4 milioni hadi 200,000

Baada ya Sekta Binafsi kuendesha sekta ya reli pasi na mafanikio ya kuridhisha, mwaka 2011, Serikali iliamua kutengua rasmi mkataba wake na Kampuni ya Reli ya India ya Rites.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: Mwekezaji Mtibwa anyang’anywe kiwanda

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeitaka serikali kumnyang’anya mwekezaji wa kiwanda cha sukari Mtibwa rasilimali hiyo kutokana na kushindwa kuwalipa wakulima na wafanyakazi madai yao. Diwani wa Mtibwa, Luka...

 

9 years ago

Habarileo

Diwani Chadema mbaroni

DIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kata ya Mbuga, tarafa ya Mwaya wilayani Ulanga mkoani Morogoro, Mussa Madona, na wenzake sita wametiwa mbaroni na Polisi na kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuchoma moto nyumba sita za wananchi wa kijiji cha Iputi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Diwani CHADEMA awashukia viongozi

MWENYEKITI wa Madiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Kinondoni, Boniface Jacob amewashukia baadhi ya viongozi wa manispaa hiyo na mkoa wa Dar es Salaam, kwa kutoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani CHADEMA akemea uhalifu

DIWANI wa Ilomba, Dickson Mwakilasa (CHADEMA) amesema vitendo vya uhalifu vinavyofanywa havipaswi kufumbiwa macho na wazazi wana wajibu wa kukemea tabia hiyo. Mwakilasa alitoa rai hiyo alipotoa kauli hiyo mjini...

 

11 years ago

Mwananchi

Diwani Chadema akisaliti chama

Diwani wa Kata ya Masoko, Mbeya Vijijini kupitia Chadema, Edward Mwampamba , juzi alikiweka njiapanda chama chake baada ya kujitoa katika kuwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri na kumsifia mgombea wa CCM kwamba anafaa kupewa kura zote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani