Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA: Mwekezaji Mtibwa anyang’anywe kiwanda

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeitaka serikali kumnyang’anya mwekezaji wa kiwanda cha sukari Mtibwa rasilimali hiyo kutokana na kushindwa kuwalipa wakulima na wafanyakazi madai yao. Diwani wa Mtibwa, Luka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Manufaa ya mwekezaji wa kiwanda cha saruji Mtwara

Rais Jakaya Kikwete akioneshwa eneo la kiwanda cha Dangote Cement Obajan Plant na mmiliki na mfanyabiashara maarufu wa Nigeria, Alhaji Aliko Dangote (kushoto) alipotembelea kiwanda hicho kilichopo kilometa 400 Kaskazini mwa jiji la Lagos, alipokitembela juzi. Kulia kwake ni Balozi wa Nigeria nchini, Ishaya Samaila Majanbu. (Picha na Ikulu)RAIS Jakaya Kikwete amejionea manufaa wanayopata wananchi waliozunguka kiwanda kikubwa cha saruji duniani, ikiwemo kujengewa nyumba, kupata huduma za uhakika za umeme, maji na vijana wao kupelekwa shule.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwekezaji Kiwanda cha Mponde alia na serikali

 HIVI karibuni, Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati akizungumza na wakazi wa Tanga kwenye mkutano wa hadhara, amesema suluhu ya mgogoro kati ya mwekezaji wa Kiwanda cha Mponde Tea Estate Ltd...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA ATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI MTIBWA


Apewa taarifa ya maendeleo ya kiwanda tangu kilipoanzishwa na Baba wa Taifa mwaka 1982, kilipo binafsishwa mwaka 2011 na mpaka sasa.Aambiwa kuporomoka kwa dola ya kimarekani pamoja na kuingizwa sukari nchi bila utaratibu kuna athiri sana ukuaji na uendeshaji wa viwanda vya sukari nchini.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiangalia baadhi ya picha za ukutani wakati akiingia kwenye ofisi za kiwanda cha Sukari cha Kagera (Kagera Sugar)akiongozana na na Mkurugenzi wa Kiwanda hicho Bw....

 

10 years ago

Vijimambo

Diwani Chadema, aapa kulala mlangoni pa mwekezaji. hadi wafanyakazi walipwe!

Na Bryceson Mathias, Mtibwa Mvomero.
DIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kata ya Mtibwa, Luka Mwakambaya, ameapa atalala mlangoni pa Mwekezaji wa Kiwanda cha Sukari Mtibwa, akishirikiana na wafanyakazi, hadi watakapolipwa mishahara yao ya miezi miwili wanayodai.

Akizungumza na Wafanyakazi nje ya lango la Kiwanda baada ya kumpigia simu kumlalamikia jinsi Mwekezaji alivyobadilisha maafikiano waliyoafikiana Jumatano Machi 4, mwaka huu kwaba kesho atawalipa mishahara yao,...

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa

Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]

The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima wasinyang’anywe ardhi — TAHA

OFISA Mtendaji wa Chama cha Wakulima wa Mbogamboga na Maua Tanzania (TAHA), Jacqueline Mkindi, amewataka viongozi wa serikali kukomesha tabia ya wananchi kunyang’anywa  ardhi ya kijiji ambayo hutumiwa kwa kilimo...

 

9 years ago

GPL

NAY ANYANG’ANYWA SHAMSA FORD

Musa mateja Gundu? Miezi kadhaa baada ya kumwagana na mzazi mwenziye Siwema Edson baada ya kumfuma na ‘kiserengeti boy’, staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ anadaiwa kunyang’anywa tena mrembo wake wa Bongo Movies, Shamsa Ford na kibabu anayedaiwa kumnunulia mwanadada huyo gari aina ya Toyota Noah.  .....Soma zaidi====>http://bit.ly/1Jb8szx ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Moro wataka vigogo wanyang’anywe ardhi

DIWANI wa Mafisa, Manispaa ya Morogoro, Francis Kayenzi, amelaumiwa kutokana na hatua ya vigogo serikalini kuchukua viwanja na kuvitelekeza katika kata yake. Wananchi wa kata hiyo, wamemtaka diwani huyo kuhakikisha...

 

10 years ago

Vijimambo

VAN PERSIE ANYANG'ANYWA UPIGAJI PENATI MAN U-BBC

Louis Van GaalVan Persie
Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amempokonya mshambuliaji wa kilabu hiyo Robin Van Persie haki za kupiga mkwaju wa penalti baada ya kukosa mkwaju kama huo katika mechi dhidi West Brom.

Alipoulizwa iwapo Van Persie angeendelea kama mchezaji aliyeorodheshwa kupiga penalti kwa niaba ya kilabu hiyo alijibu ''hapana,amefika mwisho wake.Kila mara anarejelea makosa hayo hayo aliongezea''.

''Wayne Rooney pia amekosa mkwaju wa penalti na unapokosa mkwaju...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani