CHADEMA: Mwekezaji Mtibwa anyang’anywe kiwanda
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeitaka serikali kumnyang’anya mwekezaji wa kiwanda cha sukari Mtibwa rasilimali hiyo kutokana na kushindwa kuwalipa wakulima na wafanyakazi madai yao. Diwani wa Mtibwa, Luka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 May
Manufaa ya mwekezaji wa kiwanda cha saruji Mtwara
RAIS Jakaya Kikwete amejionea manufaa wanayopata wananchi waliozunguka kiwanda kikubwa cha saruji duniani, ikiwemo kujengewa nyumba, kupata huduma za uhakika za umeme, maji na vijana wao kupelekwa shule.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Mwekezaji Kiwanda cha Mponde alia na serikali
HIVI karibuni, Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati akizungumza na wakazi wa Tanga kwenye mkutano wa hadhara, amesema suluhu ya mgogoro kati ya mwekezaji wa Kiwanda cha Mponde Tea Estate Ltd...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YIRcEgTPo90/VXn3uFJ2MjI/AAAAAAAAd7M/zCUqooCsvUM/s72-c/1.jpg)
KINANA ATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI MTIBWA
Apewa taarifa ya maendeleo ya kiwanda tangu kilipoanzishwa na Baba wa Taifa mwaka 1982, kilipo binafsishwa mwaka 2011 na mpaka sasa.Aambiwa kuporomoka kwa dola ya kimarekani pamoja na kuingizwa sukari nchi bila utaratibu kuna athiri sana ukuaji na uendeshaji wa viwanda vya sukari nchini.
![](http://4.bp.blogspot.com/-YIRcEgTPo90/VXn3uFJ2MjI/AAAAAAAAd7M/zCUqooCsvUM/s640/1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PqX1Y1ctR40/VPkCCe53ilI/AAAAAAAAR4Q/krJ-iKZpqrM/s72-c/IMG-20150305-WA0000.jpg)
Diwani Chadema, aapa kulala mlangoni pa mwekezaji. hadi wafanyakazi walipwe!
![](http://1.bp.blogspot.com/-PqX1Y1ctR40/VPkCCe53ilI/AAAAAAAAR4Q/krJ-iKZpqrM/s1600/IMG-20150305-WA0000.jpg)
DIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kata ya Mtibwa, Luka Mwakambaya, ameapa atalala mlangoni pa Mwekezaji wa Kiwanda cha Sukari Mtibwa, akishirikiana na wafanyakazi, hadi watakapolipwa mishahara yao ya miezi miwili wanayodai.
Akizungumza na Wafanyakazi nje ya lango la Kiwanda baada ya kumpigia simu kumlalamikia jinsi Mwekezaji alivyobadilisha maafikiano waliyoafikiana Jumatano Machi 4, mwaka huu kwaba kesho atawalipa mishahara yao,...
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa
Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]
The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Wakulima wasinyang’anywe ardhi — TAHA
OFISA Mtendaji wa Chama cha Wakulima wa Mbogamboga na Maua Tanzania (TAHA), Jacqueline Mkindi, amewataka viongozi wa serikali kukomesha tabia ya wananchi kunyang’anywa ardhi ya kijiji ambayo hutumiwa kwa kilimo...
9 years ago
GPLNAY ANYANG’ANYWA SHAMSA FORD
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Moro wataka vigogo wanyang’anywe ardhi
DIWANI wa Mafisa, Manispaa ya Morogoro, Francis Kayenzi, amelaumiwa kutokana na hatua ya vigogo serikalini kuchukua viwanja na kuvitelekeza katika kata yake. Wananchi wa kata hiyo, wamemtaka diwani huyo kuhakikisha...
10 years ago
Vijimambo05 May
VAN PERSIE ANYANG'ANYWA UPIGAJI PENATI MAN U-BBC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/05/141205152945_louis_van_gaal_640x360_gettyimages.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/27/141027085528_robin_van_persie_624x351_getty.jpg)
Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amempokonya mshambuliaji wa kilabu hiyo Robin Van Persie haki za kupiga mkwaju wa penalti baada ya kukosa mkwaju kama huo katika mechi dhidi West Brom.
Alipoulizwa iwapo Van Persie angeendelea kama mchezaji aliyeorodheshwa kupiga penalti kwa niaba ya kilabu hiyo alijibu ''hapana,amefika mwisho wake.Kila mara anarejelea makosa hayo hayo aliongezea''.
''Wayne Rooney pia amekosa mkwaju wa penalti na unapokosa mkwaju...