Mahiga aapa kulinda uhuru wa habari
ALIYEKUWA Balozi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Dk Augustine Maiga (70) ameahidi kuheshimu na kulinda uhuru wa vyombo vya habari kwa kuzirekebisha sheria zote zinazolalamikiwa na wadau kuminya uhuru huo endapo nia yake ya kuwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania itafanikiwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Jul
Magufuli aapa kulinda Muungano kwa nguvu
MGOMBEA wa Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema ataulinda Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964 kwa lengo la kuleta mshikamano na maendeleo kwa wananchi wa pande mbili za muungano wa Tanzania.
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Upinzani wataka sheria ya uhuru wa habari
KAMBI Rasmi ya Upinzani, imeitaka Serikali kuharakisha mchakato wa kupata sheria mpya ya uhuru wa vyombo vya habari ili kufuta sheria kandamizi zinazominya uhuru wa habari. Kauli hiyo ilitolewa jana...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Uhuru wa habari kuadhimishwa Arusha Mei 3
10 years ago
Mwananchi28 May
Serikali isijiingize kukandamiza uhuru wa habari
10 years ago
Michuzi05 May
SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI
![Mwanahabari na Bloga, Majid Mjengwa akizungumza katika mkutano huo.](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/ESfPjd1dUaWIFZASS9mAqw7ETZwecz5byo3jTpOI6uUbFQ0ru5Gr5QwjvdZcK1DaaPu53vQXq4D7o7Ngg2YYQcclSaZakDGHNdINhwMpo2JlO93n4Y8=s0-d-e1-ft#http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0853.jpg)
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Tutatetea kwa nguvu uhuru wa habari-Mukajanga
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Bunge likatae miswada inayominya uhuru wa habari
11 years ago
Mwananchi07 May
KUTOKA ZANZIBAR: Miaka 50 ya Muungano na uhuru wa habari