ASKARI JWTZ WATAKIWA KULINDA MIPAKA NA RAIA KWA NGUVU NA GHARAMA YEYOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-xCeppzYup0o/XsFAlUST_1I/AAAAAAALqkQ/RVfTu3yt7qYvz8TrND6SVoQ-OEiQAU1_ACLcBGAsYHQ/s72-c/wanafunzi-wakijilinda-poliniAAAA-768x512.jpg)
Baadhi ya Askari wanafunzi wa Shule ya Aawali ya Mafunzo ya Kijeshi RTS Kihangaiko wakiwa katika eneo la mapigano wakati wa zoezi Maliza msata bagamoyo Mkoani Pwani .
Baadhi ya Askari NA wanafunzi Kuruta wa Shule ya Aawali ya Mafunzo ya Kijeshi RTS Kihangaiko wakikimbia na na kifaru wakati wa zoezi Maliza msata bagamoyo Mkoani Pwani .
Mkuu wa shule ya Kihangaiko Kanali Sijaona Myala katikati akishangilia na Kuruti mara baada ya kumaliza zoezi la Mwisho kwa Kuruti hao katika pori la Msata...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Jun
Askari wa JWTZ watakaowapiga raia kukiona
10 years ago
Habarileo31 Aug
Askari wa JWTZ kizimbani kwa tuhuma za mauaji
ASKARI wawili wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora kwa tuhuma ya kumpiga hadi kumuua Chacha Juma, mkazi wa Nzega Mjini.
10 years ago
Habarileo17 Jul
Magufuli aapa kulinda Muungano kwa nguvu
MGOMBEA wa Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema ataulinda Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964 kwa lengo la kuleta mshikamano na maendeleo kwa wananchi wa pande mbili za muungano wa Tanzania.
9 years ago
StarTV15 Aug
JWTZ lakanusha taarifa za Chadema kwa askari kunyanganywa kadi zao.
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ limekanusha taarifa zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwamba limewanyang’anya kadi za kupigia kura Maafisa na Askari wake
Taarifa hizo za kunyang’anywa kadi zimetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA , John Mnyika.
Akikanusha taarifa hiyo kwa waandishi wa habari katika Makao Makuu ya Jeshi hilo Mkurugenzi wa habari na uhusiano wa Jeshi la Wananchi JWTZ Kanali Ngemela...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Askari aliyemjeruhi raia kwa risasi akamatwa
9 years ago
Habarileo22 Oct
JK: Tunaboresha jeshi ili kulinda mipaka
RAIS Jakaya Kikwete amesema Tanzania inaimarisha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), siyo kwa nia ya kumchokoza mtu ama nchi yoyote, bali kwa nia ya kulinda mipaka yake kwa sababu kila hatua ya maendeleo ina changamoto tofauti za ulinzi wa nchi.
10 years ago
Habarileo31 Aug
Kikosi JWTZ kulinda albino
JESHI la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), kikosi cha 516 , cha kambi ya Kizumbi mkoani Shinyanga, limeahidi kuwahakikishia ulinzi na usalama watoto wenye ulemavu wa ngozi (albino), wanaolelewa katika kituo cha Buhangija Jumuishi kilichopo Manispaa ya Shinyanga.
10 years ago
MichuziASKARI POLISI WATAKIWA KUTOA HUDUMA BORA KWA JAMII
Askari Polisi kote nchini wametakiwa kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii, kwa kuwa kufanya hivyo kutasaidia kuimarisha na kuboresha uhusiano mwema na jamii ambao utasaidia kukabiliana na vitendo vya uhalifu na wahalifu vinavyojitokeza hapa nchini.
Hayo yalisemwa jana na Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi Nchini, Abdulrahman Kaniki wakati alipokuwa akifungua mkutano wa Maafisa wanadhimu, wahasibu na watunza stoo kutoka mikoa na vikosi vya Jeshi la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-99fOF03o_Mw/XpCq-ssZ4zI/AAAAAAALmuk/DEe7lYD_-HsjRPhR1ghBGvymi2lPv9btgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0412AA-768x513.jpg)
RC Wangabo Awataka Wananchi Kulinda Mipaka Huku 49 Wakiwekwa Karantini Mkoani Rukwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-99fOF03o_Mw/XpCq-ssZ4zI/AAAAAAALmuk/DEe7lYD_-HsjRPhR1ghBGvymi2lPv9btgCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0412AA-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0417AA-1024x685.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0381AAA-1024x685.jpg)
Afisa Afya wa Mkoa wa Rukwa Kennedy Kyauke akitoa elimu ya hatua za kunawa mikono kwa...