Kikosi JWTZ kulinda albino
JESHI la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), kikosi cha 516 , cha kambi ya Kizumbi mkoani Shinyanga, limeahidi kuwahakikishia ulinzi na usalama watoto wenye ulemavu wa ngozi (albino), wanaolelewa katika kituo cha Buhangija Jumuishi kilichopo Manispaa ya Shinyanga.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Kamati ya Bunge yataka kikosi kulinda miundombinu DART
KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imetoa agizo kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuharakisha kufanya makubaliano na Jeshi la Polisi...
5 years ago
Michuzi
ASKARI JWTZ WATAKIWA KULINDA MIPAKA NA RAIA KWA NGUVU NA GHARAMA YEYOTE

Baadhi ya Askari wanafunzi wa Shule ya Aawali ya Mafunzo ya Kijeshi RTS Kihangaiko wakiwa katika eneo la mapigano wakati wa zoezi Maliza msata bagamoyo Mkoani Pwani .

Baadhi ya Askari NA wanafunzi Kuruta wa Shule ya Aawali ya Mafunzo ya Kijeshi RTS Kihangaiko wakikimbia na na kifaru wakati wa zoezi Maliza msata bagamoyo Mkoani Pwani .

Mkuu wa shule ya Kihangaiko Kanali Sijaona Myala katikati akishangilia na Kuruti mara baada ya kumaliza zoezi la Mwisho kwa Kuruti hao katika pori la Msata...
10 years ago
Vijimambo28 Apr
RAIS KIKWETE AZINDUA MELI VITA MBILI ZA KIKOSI CHA WANAMAJI CHA JWTZ JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa amri kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mara baada ya kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015


Amiri Jeshi...
10 years ago
GPL
RAIS KIKWETE AZINDUA MELI VITA MBILI ZA KIKOSI CHA WANAMAJI CHA JWTZ JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Mwananchi07 Mar
MAUAJI ALBINO: Albino: Adhabu ya kifo sawa
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
JWTZ yaonya
KUTOKANA na kuzidi kushamiri kwa matukio ya uhalifu nchini, huku wahusika wakionekana kutumia sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), jeshi hilo limeonya na kupiga marufuku wanaovaa sare za...