JK: Tunaboresha jeshi ili kulinda mipaka
RAIS Jakaya Kikwete amesema Tanzania inaimarisha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), siyo kwa nia ya kumchokoza mtu ama nchi yoyote, bali kwa nia ya kulinda mipaka yake kwa sababu kila hatua ya maendeleo ina changamoto tofauti za ulinzi wa nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xCeppzYup0o/XsFAlUST_1I/AAAAAAALqkQ/RVfTu3yt7qYvz8TrND6SVoQ-OEiQAU1_ACLcBGAsYHQ/s72-c/wanafunzi-wakijilinda-poliniAAAA-768x512.jpg)
ASKARI JWTZ WATAKIWA KULINDA MIPAKA NA RAIA KWA NGUVU NA GHARAMA YEYOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-xCeppzYup0o/XsFAlUST_1I/AAAAAAALqkQ/RVfTu3yt7qYvz8TrND6SVoQ-OEiQAU1_ACLcBGAsYHQ/s640/wanafunzi-wakijilinda-poliniAAAA-768x512.jpg)
Baadhi ya Askari wanafunzi wa Shule ya Aawali ya Mafunzo ya Kijeshi RTS Kihangaiko wakiwa katika eneo la mapigano wakati wa zoezi Maliza msata bagamoyo Mkoani Pwani .
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/wanafunzi-wakikimbia-na-kifaruAAAA.jpg)
Baadhi ya Askari NA wanafunzi Kuruta wa Shule ya Aawali ya Mafunzo ya Kijeshi RTS Kihangaiko wakikimbia na na kifaru wakati wa zoezi Maliza msata bagamoyo Mkoani Pwani .
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/kanali-myala-na-wanafunziAAA-1024x473.jpg)
Mkuu wa shule ya Kihangaiko Kanali Sijaona Myala katikati akishangilia na Kuruti mara baada ya kumaliza zoezi la Mwisho kwa Kuruti hao katika pori la Msata...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-99fOF03o_Mw/XpCq-ssZ4zI/AAAAAAALmuk/DEe7lYD_-HsjRPhR1ghBGvymi2lPv9btgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0412AA-768x513.jpg)
RC Wangabo Awataka Wananchi Kulinda Mipaka Huku 49 Wakiwekwa Karantini Mkoani Rukwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-99fOF03o_Mw/XpCq-ssZ4zI/AAAAAAALmuk/DEe7lYD_-HsjRPhR1ghBGvymi2lPv9btgCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0412AA-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0417AA-1024x685.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0381AAA-1024x685.jpg)
Afisa Afya wa Mkoa wa Rukwa Kennedy Kyauke akitoa elimu ya hatua za kunawa mikono kwa...
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Adaiwa kuiba kichanga ili kulinda ndoa
JESHI la polisi mkoani Rukwa linamshikilia Magreth Juma (34), mkazi wa mtaa wa Chanji Manispaa ya Sumbawanga kwa tuhuma za wizi wa mtoto mchanga wa siku mbili. Mtuhumiwa huyo, alikamatwa...
10 years ago
Michuzi03 Jun
TBS NA TFDA WATAKIWA KUDHIBITI BIDHAA ZISIZO NA UBORA ILI KULINDA UCHUMI
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2269734/lowRes/721356/-/nkmp03/-/FEKI.jpg)
Mamlaka ya Chakula na dawa(TFDA) na Shirika la Viwango nchini(TBS), wameshauriwa kuwadhibiti zaidi wafanyabiashara wasio waaminini ambao wanaingia nchini bidhaa sizizo na ubora kwani wanaporomosha uchumi.
Meneja masoko wa kampuni ya Wrigleys (EA) Company Ltd, Emanuel Laswai, alitoa kauli hiyo juzi, katika uzinduzi wa bidhaa mpya za kampuni hiyo ya Doublemint nchini Tanzania.
Laswai alisema, uingizwaji wa bidhaa feki na zisizo na ubora zina athari za...
11 years ago
Michuzi11 Mar
elimu kwa umma juu ya njia bora za kuhudumia majokofu na viyoyozi ili kulinda tabaka la Ozoni.
![](https://4.bp.blogspot.com/-WD21MQSvl8A/Ux8LVpmP0-I/AAAAAAACrOg/jTWoybng280/s1600/DSC0100.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-m-lcn_oUUeI/Ux8KQqRmUFI/AAAAAAACrOI/uUcYZ9e6Aks/s1600/DSC0076.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-XQ3d6P71Jyg/Ux8Kdxl1hSI/AAAAAAACrOQ/PrsAI3EeFD8/s1600/DSC0119.jpg)
10 years ago
BBCSwahili07 May
Taleban yalazimu jeshi kulinda mji wa Kunduz
Wajeshi wa Afghanistan wametangaza kuwa, wamewauwa zaidi ya wapiganaji 35 wa Taliban katika makabiliano makali waliyoianzisha leo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GxX3dJrXkhk/XkueFOJCOXI/AAAAAAALd2Q/PNdo-Zug3YgEYizcgHbJwUQyF0BEShefgCLcBGAsYHQ/s72-c/5-3-1.jpg)
SERIKALI YATOA ELIMU KWA WACHIMBAJI WA DHAHABU JUU YA MADHARA YA MATUMIZI YA ZEBAKI ILI KULINDA AFYA ZAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-GxX3dJrXkhk/XkueFOJCOXI/AAAAAAALd2Q/PNdo-Zug3YgEYizcgHbJwUQyF0BEShefgCLcBGAsYHQ/s640/5-3-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-3-1.jpg)
5 years ago
MichuziMBUNGE RITA KABATI AOMBA USHURU WA MAZIWA KUTOKA NJE YA NCHI UONGEZWE ILI KULINDA VIWANDA VYA NDANI
Aidha, Kabati ameipongeza Kampuni ya Kuzalisha Maziwa ya ASAS ya mjini Iringa kwa kutumia fursa ya kuongeza ushuru wa bidhaa kwa kuzalisha maziwa mengi.
Kabati ametoa ombi na pongezi hizo Bungeni jiini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi iliyowasilishwa na Waziri wa Luhaga Mpina.
Mbunge huyo wa Viti Maalum alisema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dFoJhxtCfe4/XklpDhd90jI/AAAAAAALdkw/pAsgyogIFmklptnmLTYMAueLrLNWPPZAQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-30-1024x683.jpg)
WATUMISHI WA MALIASILI WATAKIWA KUHAMISHIA OFISI KATIKA MAENEO YA HIFADHI ILI KULINDA MALIASILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-dFoJhxtCfe4/XklpDhd90jI/AAAAAAALdkw/pAsgyogIFmklptnmLTYMAueLrLNWPPZAQCLcBGAsYHQ/s640/1-30-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-27-1024x683.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania