JWTZ lakanusha taarifa za Chadema kwa askari kunyanganywa kadi zao.
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ limekanusha taarifa zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwamba limewanyang’anya kadi za kupigia kura Maafisa na Askari wake
Taarifa hizo za kunyang’anywa kadi zimetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA , John Mnyika.
Akikanusha taarifa hiyo kwa waandishi wa habari katika Makao Makuu ya Jeshi hilo Mkurugenzi wa habari na uhusiano wa Jeshi la Wananchi JWTZ Kanali Ngemela...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziJWTZ YAKANUSHA KUWANYANG'ANYA KADI ZA KUPIGIA KURA MAOFISA NA ASKARI WAKE
Na...
9 years ago
Michuzi22 Oct
TAARIFA KUHUSU WALIOPOTEZA KADI ZAO ZA KUPIGIA KURA
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/FL2sjZNyU5BB3WZGSsGvpzASlGhK4JwHhvYEvsYmg_nQM7PwR78af7S5fIakgXmWT4js4yENj_yUch3SjpGrF6o06HIOLk7ycZDlbofb5W38em0sITwbnKDeec5Oz4j3j_j5yEWbpD_CFF0ka4x2uiayug031cleVzYJjdAg=s0-d-e1-ft#http://mobile.mwananchi.co.tz/image/view/-/2924186/medRes/1154732/-/an7sjm/-/Kura+Photo.jpg?format=xhtml)
OFISI Usambazaji na Ugavi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Eliud Njaila akiwaonyesha waandishi wa habari vizimba vya kupigia kura siku ya uchaguzi. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema wapiga kura waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura katika uchaguzi utakaofanyika nchini kote siku ya Jumapili.
Akizungumza katika mkutano wa vyama vya siasa na NEC mjini Dodoma leo, Ofisa Mwandamizi wa tume hiyo William Kitebi, amesema watu hao hawataruhusiwa hata kama majina na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZBStZ816j0TJP9Dl2yvMIV9KReHO3t5NKSV1FMowYxdLcij1Ui--xhdhmHbcZ8Q-C2Hi3iLjuFPgVjEY1QpAULP-S9ZzD4j/CHADEMA2.jpg?width=650)
VIJANA 30 WA CCM-VYUO VIKUU WASALIMISHA KADI ZAO CHADEMA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t-op8cWY9NA/U6P5gSvAjGI/AAAAAAAFr38/zXmiUngWvTc/s72-c/unnamed+(9).jpg)
BARAZA LA WAZEE KANISA LA MORAVIAN TABATA LAWATOA HOFU WAUMINI, LAKANUSHA TAARIFA YA KUZUILIWA KWA IBADA
![](http://4.bp.blogspot.com/-t-op8cWY9NA/U6P5gSvAjGI/AAAAAAAFr38/zXmiUngWvTc/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HnQhhc5t7Eg/U6P5gdCxNaI/AAAAAAAFr4A/3EVZ7Pftwhc/s1600/unnamed+(11).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OlGFONkFiu8/VEdMipw5qcI/AAAAAAAGsj4/qUXxajXO_nM/s72-c/PIX%2B1.jpg)
CHADEMA NACHINGWEA WAKIKIMBIA CHAMA CHAO NA KUJIUNGA NA CCM, WAZIRI CHIKAWE APOKEA KADI ZAO NA KUWAKARIBISHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-OlGFONkFiu8/VEdMipw5qcI/AAAAAAAGsj4/qUXxajXO_nM/s1600/PIX%2B1.jpg)
10 years ago
Habarileo31 Aug
Askari wa JWTZ kizimbani kwa tuhuma za mauaji
ASKARI wawili wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora kwa tuhuma ya kumpiga hadi kumuua Chacha Juma, mkazi wa Nzega Mjini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xCeppzYup0o/XsFAlUST_1I/AAAAAAALqkQ/RVfTu3yt7qYvz8TrND6SVoQ-OEiQAU1_ACLcBGAsYHQ/s72-c/wanafunzi-wakijilinda-poliniAAAA-768x512.jpg)
ASKARI JWTZ WATAKIWA KULINDA MIPAKA NA RAIA KWA NGUVU NA GHARAMA YEYOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-xCeppzYup0o/XsFAlUST_1I/AAAAAAALqkQ/RVfTu3yt7qYvz8TrND6SVoQ-OEiQAU1_ACLcBGAsYHQ/s640/wanafunzi-wakijilinda-poliniAAAA-768x512.jpg)
Baadhi ya Askari wanafunzi wa Shule ya Aawali ya Mafunzo ya Kijeshi RTS Kihangaiko wakiwa katika eneo la mapigano wakati wa zoezi Maliza msata bagamoyo Mkoani Pwani .
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/wanafunzi-wakikimbia-na-kifaruAAAA.jpg)
Baadhi ya Askari NA wanafunzi Kuruta wa Shule ya Aawali ya Mafunzo ya Kijeshi RTS Kihangaiko wakikimbia na na kifaru wakati wa zoezi Maliza msata bagamoyo Mkoani Pwani .
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/kanali-myala-na-wanafunziAAA-1024x473.jpg)
Mkuu wa shule ya Kihangaiko Kanali Sijaona Myala katikati akishangilia na Kuruti mara baada ya kumaliza zoezi la Mwisho kwa Kuruti hao katika pori la Msata...
10 years ago
Vijimambo25 Jan
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA JESHI LA WANANCHI (JWTZ)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/index27.jpg)
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa taarifa kwa wananchi na Vyombo vya Habari kuhusu mgogoro wa eneo la TONDORONI lililopo katika Wilaya ya Kisarawe kama ilivyokaririwa na baadhi ya Vyombo vya Habari hapa nchini.Taarifa zilizotolewa na kukaririwa na baadhi ya Vyombo vya Habari kwamba Wanajeshi wametumia nguvu kuwatoa wananchi eneo la TONDORONI na baadhi yao kudai kupotelewa na mali zao siyo za kweli na ni za kuwapotosha wananchi kwa sababu wananchi hao walitaarifiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cXofN0CMuBw/VT9hzuIXK6I/AAAAAAAHTw0/f3o_QClT_aU/s72-c/Copy%2Bof%2BHayati%2BHashim%2BMbita.jpg)
Taarifa ya kifo kwa vyombo vya habari kutoka JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA (JWTZ).
![](http://3.bp.blogspot.com/-cXofN0CMuBw/VT9hzuIXK6I/AAAAAAAHTw0/f3o_QClT_aU/s1600/Copy%2Bof%2BHayati%2BHashim%2BMbita.jpg)
Brigedia Jenerali Hashim Iddi Mbita (mstaafu) enzi za uhai wake.
![](http://3.bp.blogspot.com/-cou40X-9XwI/VT9im-1FWlI/AAAAAAAHTw8/_9bebtCWLsQ/s1600/New%2BPicture.png)
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
Simu ya Upepo : “N G O M E” Makao Makuu ya Jeshi, Simu ya Mdomo : DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203, Telex : 41051 DAR ESSALAAM, 28 Aprili, 2015. Tele Fax : 2153426 Barua pepe : ulinzimagazine@yahoo.co.uk Tovuti : www.tpdf.mil.tz Taarifa ya kifo kwa Vyombo vya...