TFDA yafuta usajili wa dawa zenye madhara
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imefuta usajili na kuzuia uingizaji na uuzaji wa dawa tano za binadamu baada ya kubainika kuwa na madhara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9mMjqhoep4k/VMKWaWrov5I/AAAAAAACyT4/9E3pcA9CGhY/s72-c/New%2BPicture.png)
TFDA YAFUTA USAJILI NA KUDHIBITI ZAIDI MATUMIZI YA BAADHI YA DAWA ZA BINADAMU NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-9mMjqhoep4k/VMKWaWrov5I/AAAAAAACyT4/9E3pcA9CGhY/s1600/New%2BPicture.png)
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imezifutia Usajili wa Dawa tano za Binadamu kutokana na kuwepo makosa mbalimbali. Hayo yameelewa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi mkuu TFDA Bwana Hiiti...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aGjFf09I1M4/VMK1F2VwtYI/AAAAAAAABNU/dSGC9e87jKI/s72-c/TFDA.jpg)
Mamlaka ya chakula na dawa nchini (Tanzania) yafuta usajili wa dawa aina Tano za binadamu - Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-aGjFf09I1M4/VMK1F2VwtYI/AAAAAAAABNU/dSGC9e87jKI/s1600/TFDA.jpg)
Mamlaka ya chakula na dawa nchini TFDA imefuta usajili wa dawa za binadamu aina Tano na kuamuru ziondolewe sokoni na vituo vyote vya kutolea huduma za afya mchini kote mara moja kutokana na kubainika kuwa na viambata vinavyosababisha maradhi sugu ikiwemo kiharusi, na wakati mwingine kusababisha vifo.
Dawa zinazotajwa kufutiwa usajiri na kuzuia uingizwaji kuwa ni pamoja na dawa za kutibu maralia ya maji na vidonge aina ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BMX2CDnBHSJSIYVxKBIWCjo0QFM8l2MSGaMPEPlTzuy2vC0XyQayaoPvTVfd9-8pXvWQ97e2L8sOGG7jrLWeTqt3g8-KVfg6/1.gif?width=650)
TFF yafuta usajili wa Domayo
11 years ago
MichuziPOLISI YAAGIZWA KUSAKA DAWA ZA SERIKALI ZENYE NEMBO YA MSD KATIKA MADUKA YANAYOUZA DAWA BARIDI NCHINI KOTE.
![](http://3.bp.blogspot.com/-EwjUyaEScrY/Ux2DlBq6VaI/AAAAAAAA0Rg/qUnegDdlwak/s1600/01.MSD5.jpg)
11 years ago
BBCSwahili10 Apr
Tanzania yafuta usajili wa shirika moja
10 years ago
StarTV23 Feb
NACTE yafuta usajili wa vyuo 13, 60 vyashushwa hadhi.
Na Grace Semfuko,
Dar es Salaam.
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi NACTE limefuta usajili wa vyuo 13 na kuvishusha hadhi vyuo 60 ambavyo vimekiuka sheria ya usajili.
Vyuo vingine vimebainika kutoa mitaala isiyosajiliwa na vyuo hivyo na vingine kutokuwa na sifa za kuendesha mafunzo ya ufundi.
Baraza hilo lenye mamlaka ya kusimamia elimu ya ufundi nchini limesema bado linavifanyia uchunguzi vyuo vingi nchini ili kuona kama vina tija ya kuendelea kutoa elimu inayokidhi mahitaji ya soko...
10 years ago
MichuziTFDA YATEKETEZA BIDHAA FEKI ZENYE THAMANI YA SH MIL.5, SIKONGE MKOANI TABORA
Na Allan Ntana, Sikonge
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati imefanikiwa kukamata na kuteketeza bidhaa mbalimbali za chakula, vinywaji, dawa za binadamu na mifugo, vipodozi na vifaa tiba vilivyoisha muda wake na vingine feki vyenye thamani ya zaidi ya sh mil.5...
11 years ago
Mwananchi16 May
Madhara ya kuchanganya dawa za hospitali na za asili
10 years ago
Mwananchi05 Sep
TFDA ichunguze ukweli kuhusu dawa hizi