TFDA YAFUTA USAJILI NA KUDHIBITI ZAIDI MATUMIZI YA BAADHI YA DAWA ZA BINADAMU NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-9mMjqhoep4k/VMKWaWrov5I/AAAAAAACyT4/9E3pcA9CGhY/s72-c/New%2BPicture.png)
Pichani ni Mkurugenzi Mkuu wa TFDA Bw. Hiiti Sillo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika mkutano na waandishi wa habari katika kueleza maamuzi ya TFDA kufuta usajili na kubadili matumizi ya baadhi ya dawa nchini. Mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa TFDA Makao Mkuu
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imezifutia Usajili wa Dawa tano za Binadamu kutokana na kuwepo makosa mbalimbali. Hayo yameelewa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi mkuu TFDA Bwana Hiiti...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aGjFf09I1M4/VMK1F2VwtYI/AAAAAAAABNU/dSGC9e87jKI/s72-c/TFDA.jpg)
Mamlaka ya chakula na dawa nchini (Tanzania) yafuta usajili wa dawa aina Tano za binadamu - Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-aGjFf09I1M4/VMK1F2VwtYI/AAAAAAAABNU/dSGC9e87jKI/s1600/TFDA.jpg)
Mamlaka ya chakula na dawa nchini TFDA imefuta usajili wa dawa za binadamu aina Tano na kuamuru ziondolewe sokoni na vituo vyote vya kutolea huduma za afya mchini kote mara moja kutokana na kubainika kuwa na viambata vinavyosababisha maradhi sugu ikiwemo kiharusi, na wakati mwingine kusababisha vifo.
Dawa zinazotajwa kufutiwa usajiri na kuzuia uingizwaji kuwa ni pamoja na dawa za kutibu maralia ya maji na vidonge aina ya...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
TFDA yafuta usajili wa dawa zenye madhara
10 years ago
Mtanzania24 Jan
Dawa hizi ni hatari kwa binadamu — TFDA
OLIVER OSWALD NA ESTER MNYIKA, DAR ES SALAAM,
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA), imeziondoa sokoni na kuzifutia usajili aina tano za dawa zinazotumiwa na binadamu baada ya kugundulika kuwa zina madhara katika mwili wa binadamu.
Sambamba na hatua hiyo, pia imepiga marufuku uingizaji, usambazaji na matumizi ya dawa hizo.
Uamuzi huo ulitangazwa jana na Mkurugenzi Mkuu wa TFDA, Hiiti Sillo, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika ofisini kwake Dar es Salaam.
Sillo alisema mamlaka...
9 years ago
Mwananchi24 Sep
TFDA kudhibiti bidhaa feki nchini
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Le4opxu2f8A/VO9hGF25IbI/AAAAAAAHGGk/Svmle4dN2DM/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
BODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAANGAMIZA UNGA WA NGANO TANI 70 AMBAO HAUFAI KWA MATUMIZI YA BINADAMU
![](http://1.bp.blogspot.com/-Le4opxu2f8A/VO9hGF25IbI/AAAAAAAHGGk/Svmle4dN2DM/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HaLBiDzQ2TE/VO9hF-EioPI/AAAAAAAHGGg/mjT3-jx1SWs/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aWGHt4Gk1_Y/VO9hFtQ6voI/AAAAAAAHGGc/4dUTVvzYbk0/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Sheria kudhibiti matumizi ya tindikali nchini yaiva
10 years ago
Michuzi26 Jan
Zaidi ya NGOs 1000 kufutiwa usajili nchini
Hatua hiyo inatokana na maelekezo ya Bodi ya Uratibu ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali katika kikao chake kilichofanyika hivi karibuni mkoani Geita.
Kufutwa kwa mashirika tajwa kunatokana na kushindwa kutoa taarifa zake za kila mwaka kama inavyosisitizwa na sheria ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Na. 24, 2002...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BMX2CDnBHSJSIYVxKBIWCjo0QFM8l2MSGaMPEPlTzuy2vC0XyQayaoPvTVfd9-8pXvWQ97e2L8sOGG7jrLWeTqt3g8-KVfg6/1.gif?width=650)
TFF yafuta usajili wa Domayo
11 years ago
BBCSwahili10 Apr
Tanzania yafuta usajili wa shirika moja