Zaidi ya NGOs 1000 kufutiwa usajili nchini
Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali anatarajia kuyafutia usajili zaidi ya Mashirika 1000 kutokana na kutotimiza matakwa ya kisheria katika utendaji kazi wake tangu yasajiliwe.
Hatua hiyo inatokana na maelekezo ya Bodi ya Uratibu ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali katika kikao chake kilichofanyika hivi karibuni mkoani Geita.
Kufutwa kwa mashirika tajwa kunatokana na kushindwa kutoa taarifa zake za kila mwaka kama inavyosisitizwa na sheria ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Na. 24, 2002...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 May
Makandarasi wabishi kufutiwa usajili
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9mMjqhoep4k/VMKWaWrov5I/AAAAAAACyT4/9E3pcA9CGhY/s72-c/New%2BPicture.png)
TFDA YAFUTA USAJILI NA KUDHIBITI ZAIDI MATUMIZI YA BAADHI YA DAWA ZA BINADAMU NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-9mMjqhoep4k/VMKWaWrov5I/AAAAAAACyT4/9E3pcA9CGhY/s1600/New%2BPicture.png)
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imezifutia Usajili wa Dawa tano za Binadamu kutokana na kuwepo makosa mbalimbali. Hayo yameelewa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi mkuu TFDA Bwana Hiiti...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--J4roocGS4E/U7z-XnLRjZI/AAAAAAAFzv8/edwLNezyzOY/s72-c/download+(1).jpg)
TANGAZO LA KUSUDIO LA KUFUTIA USAJILI NGOs AMBAZO HAZIJAWASILISHA TAARIFA ZA MWAKA
![](http://3.bp.blogspot.com/--J4roocGS4E/U7z-XnLRjZI/AAAAAAAFzv8/edwLNezyzOY/s1600/download+(1).jpg)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rNwHuQsz64g/VdsS1e4jKBI/AAAAAAAHznA/3tPdtPEsPj8/s72-c/001.jpg)
Zaidi ya vijana 1000 wapata mafunzo bora ya Kilimo
![](http://2.bp.blogspot.com/-rNwHuQsz64g/VdsS1e4jKBI/AAAAAAAHznA/3tPdtPEsPj8/s640/001.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AY5n-P37pIUk85pIY2oGCUTyHKDiCv527AqCci0OYFuydFFgrBsaFNuMtY4IIiDTIjJJMTZ4Xy7D1p*ckCgrFmGOoH8*tGxg/001.jpg)
ZAIDI YA VIJANA 1000 WAPATIWA MAFUNZO BORA YA KILIMO
11 years ago
MichuziCRDB YATOA SOMO KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI ZAIDI YA 1000 KUHUSU KUWEKA AKIBA
Akizungumzia Tamasha hilo, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Angels Moment ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, Naima Malima alisema kuwa lengo la semina hiyo ni kuchochea utamaduni wa kuweka akiba kwa wanawake wajasiriamali na kuwaelimisha aina tofauti ya kuweka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1x_xczr4nrU/XmYMMD3zMFI/AAAAAAALiLU/h2_GqmgK-rwB99UCDuPSE2wW6F54LQw-QCLcBGAsYHQ/s72-c/4bk901ca36e9deexrp_800C450.jpg)
Zaidi ya wanajeshi elfu moja (1000) wa Israel wawekwa chini ya karantini kwa corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-1x_xczr4nrU/XmYMMD3zMFI/AAAAAAALiLU/h2_GqmgK-rwB99UCDuPSE2wW6F54LQw-QCLcBGAsYHQ/s640/4bk901ca36e9deexrp_800C450.jpg)
Televisheni ya al Alam imenukuu taarifa iliyotolewa na Aviv Kochavi, mkuu wa majeshi ya Israel akisema kuwa, utawala huo umechukua hatua hiyo ili kupunguza idadi ya wanajeshi wake waliokumbwa na virusi hatari vya corona.
Siku ya Ijumaa pia utawala wa Kizayuni ulitangaza kuwa, mwanajeshi yeyote wa utwaala huo hana ruhusa ya kuondoka kwenye...
10 years ago
Dewji Blog28 May
Takriban watu 1000 wamekufa kutokana na wimbi la joto linalovuma nchini India.
Watafiti wamesajili kiwango cha juu mno cha nyuzijoto 48’C katika maeneo mengi nchini humo ambapo vifo vingi zaidi vimeripotiwa katika majimbo ya kusini ya Telangana na Andhra Pradesh, ambapo watu 140 wamepoteza maisha yao kuanzia jumamosi wimbi hilo la joto lilipotokea hata hivyo hadi kufia leo Mei 27, tayari zaidi ya watu 1,000, wamelipotiwa kupoteza maisha yao.
Mji wa Allahabad ulioko Uttar Pradesh ulisajili vipimo vya nyuzijoto 48C huku wakaazi wa mji mkuu wa India New Delhi...