Sheria kudhibiti matumizi ya tindikali nchini yaiva
Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, imekamilisha kazi ya kufanya mapitio ya kanuni na sheria za kemikali za mwaka 2012, kilichosalia ni mapitio hayo kuwekwa sawa na wataalamu wa sheria kabla haijaidhinishwa kwa ajili ya kutumiwa, kudhibiti ajali zitokanazo na kemikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9mMjqhoep4k/VMKWaWrov5I/AAAAAAACyT4/9E3pcA9CGhY/s72-c/New%2BPicture.png)
TFDA YAFUTA USAJILI NA KUDHIBITI ZAIDI MATUMIZI YA BAADHI YA DAWA ZA BINADAMU NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-9mMjqhoep4k/VMKWaWrov5I/AAAAAAACyT4/9E3pcA9CGhY/s1600/New%2BPicture.png)
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imezifutia Usajili wa Dawa tano za Binadamu kutokana na kuwepo makosa mbalimbali. Hayo yameelewa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi mkuu TFDA Bwana Hiiti...
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Serikali kudhibiti matumizi kemikali
11 years ago
Habarileo10 Jun
Kanuni kudhibiti matumizi ya mtandao
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema kuwa wizara yake inatayarisha Kanuni, zitakazodhibiti matumizi mabaya ya mtandao wa intaneti, ikiwemo uwekezaaji wa picha chafu mtandaoni.
10 years ago
Vijimambo28 Mar
MISWAADA KUDHIBITI MATUMIZI YA SIMU YAJA
![](http://dunialeo.com/my/data/posts/1427354023-makambabunge_300_257.png)
Serikali ya Tanzania imesema mnamo mapema mwakani iyapeleka bungeni miswada mitatu ya sheria za usalama wa mtandao yenye lengo la kuongeza usalama wa matumizi ya huduma za kimtandao.Aidha, kumekuwa na jumla ya matukio ya makosa mbalimbali ya kimtandao yaliyoripotiwa Polisi kati ya 2012 hadi 2014, huku kesi 212 zenye watuhumiwa 132 zikifikishwa mahakamani.
Naibu Waziri wa Mawasilino,Sayansi na Teknolojia, January Makamba aliyasema hayo bungeni jana wakati akijibu swali la Mbunge...
10 years ago
MichuziSERIKALI KUDHIBITI MATUMIZI MABAYA YA TEHAMA.
9 years ago
VijimamboUzinduzi wa kanuni ya kudhibiti matumizi ya misumeno ya moto
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GCGx0cn1OnY/XqB1nL3WeYI/AAAAAAALn3U/F607eqgK6s0Vjh-E8kWdR5JDZHy0mkiZgCLcBGAsYHQ/s72-c/Mahakamapic.jpg)
MAHAKAMA YABORESHA MATUMIZI YA TEHAMA KUDHIBITI CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GCGx0cn1OnY/XqB1nL3WeYI/AAAAAAALn3U/F607eqgK6s0Vjh-E8kWdR5JDZHy0mkiZgCLcBGAsYHQ/s400/Mahakamapic.jpg)
TEHAMA
Mahakama ya Tanzania imesikiliza jumla ya mashauri 1,519 kupitia Mahakama Mtandao (Video Conferencing) kati ya Machi 23 hadi Aprili 21mwaka huu ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Jaji Mkuu wa Tanzania alilolitoa Machi 23 mwaka huu.
Ambapo akiitaka Mahakama kutumia Tekknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika kupambana na ugonjwa wa COVID 19 unaosababishwa na virusi vya Corona.
Mkurugenzi Msaidizi wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Mahakama...
10 years ago
Mwananchi15 May
Wataalamu: Tanzania iwe na sera maalumu kudhibiti matumizi ya pombe
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9vlo4bVhdHw/VSzH-zCXbRI/AAAAAAAHRC8/Lebko5qFOyE/s72-c/stock-photo-computer-mobility-internet-communication-and-cloud-computing-concept-white-laptop-with-cloud-of-133005893.jpg)
Umuhimu wa kudhibiti matumizi ya vyombo vya elektroniki kwa watoto na vijana
![](http://3.bp.blogspot.com/-9vlo4bVhdHw/VSzH-zCXbRI/AAAAAAAHRC8/Lebko5qFOyE/s1600/stock-photo-computer-mobility-internet-communication-and-cloud-computing-concept-white-laptop-with-cloud-of-133005893.jpg)
Zaidi ya asilimia 60 ya watoto wenye umri wa miaka 13 hadi 17 wanatumia zaidi ya masaa mawili kila siku kuangalia mitandao ya kijamii pamoja na vipindi mbalimbali vya Televisheni. Hii inaweza kuwa njia kubwa ya kuunganisha, lakini pia kuna hatari zinazohusiana na kutumia muda mwingi sana kwenye vyombo vya habari kijamii.
Leo hii ni nadra kukuta familia ambazo watoto na vijana wake hawajaathirika na vyombo vya habari na elektroniki kama vile televisheni, intaneti na michezo mingine tofauti...