Tanzania yafuta usajili wa shirika moja
Shirika la Sisi kwa Sisi Foundation limeshutumiwa na serikali kwa kueneza vitendo vya mapenzi ya jinsia moja katika jamii.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
Mamlaka ya chakula na dawa nchini (Tanzania) yafuta usajili wa dawa aina Tano za binadamu - Tanzania

Mamlaka ya chakula na dawa nchini TFDA imefuta usajili wa dawa za binadamu aina Tano na kuamuru ziondolewe sokoni na vituo vyote vya kutolea huduma za afya mchini kote mara moja kutokana na kubainika kuwa na viambata vinavyosababisha maradhi sugu ikiwemo kiharusi, na wakati mwingine kusababisha vifo.
Dawa zinazotajwa kufutiwa usajiri na kuzuia uingizwaji kuwa ni pamoja na dawa za kutibu maralia ya maji na vidonge aina ya...
11 years ago
GPL
TFF yafuta usajili wa Domayo
10 years ago
StarTV23 Feb
NACTE yafuta usajili wa vyuo 13, 60 vyashushwa hadhi.
Na Grace Semfuko,
Dar es Salaam.
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi NACTE limefuta usajili wa vyuo 13 na kuvishusha hadhi vyuo 60 ambavyo vimekiuka sheria ya usajili.
Vyuo vingine vimebainika kutoa mitaala isiyosajiliwa na vyuo hivyo na vingine kutokuwa na sifa za kuendesha mafunzo ya ufundi.
Baraza hilo lenye mamlaka ya kusimamia elimu ya ufundi nchini limesema bado linavifanyia uchunguzi vyuo vingi nchini ili kuona kama vina tija ya kuendelea kutoa elimu inayokidhi mahitaji ya soko...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
TFDA yafuta usajili wa dawa zenye madhara
10 years ago
Michuzi
TFDA YAFUTA USAJILI NA KUDHIBITI ZAIDI MATUMIZI YA BAADHI YA DAWA ZA BINADAMU NCHINI

Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imezifutia Usajili wa Dawa tano za Binadamu kutokana na kuwepo makosa mbalimbali. Hayo yameelewa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi mkuu TFDA Bwana Hiiti...
11 years ago
BBCSwahili10 Oct
Wapenzi wa jinsia moja Kenya wataka usajili
10 years ago
Bongo Movies24 Jun
JB Na Steve Nyerere Waukwaa Ubalozi Kwenye Shirika Moja la Ndege
Mastaa wakongwe wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB, na Steven Mengere 'Steve Nyerere’ wamekuwa mabalozi wa shirika la utoaji huduma za usafiri wa anga la JAMBO AVIATION LTD.
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram Steve Nyerere aliweka picha hizo hapo juu zikiwaonyesha wawili hao wakiwa wamebeba mfano ya ndege za shirika hilo na kuandika.
“Nasema asanteni leo nimekuwa BALOZI wa JAMBO AVIATION LTD, Ni mimi na JB”
Hongereni sana.
10 years ago
Bongo506 Oct
Zari hawezi kuhamia Tanzania moja kwa moja — Diamond
11 years ago
Habarileo14 Apr