BODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAANGAMIZA UNGA WA NGANO TANI 70 AMBAO HAUFAI KWA MATUMIZI YA BINADAMU
![](http://1.bp.blogspot.com/-Le4opxu2f8A/VO9hGF25IbI/AAAAAAAHGGk/Svmle4dN2DM/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Magari yakipakia Unga wa ngano mbovu katika godauni lililokuwa la Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDB) Mnazi mmoja, unga huo haufai kwa matumizi ya binadamu.
Unga wa ngano mbovu tani 70 uliokamatwa ukiwa sokoni na mafisa wa Bodi ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar ukimwangwa eneo la Zingwezingwe Mkoa wa Kaskazini ''B'' Unguja tayari kawa kuangamizwa.
Kijiko likichukua mchanga kuchanganya na unga ulioharibika kwa lengo la kuangamiza katika kijiji cha Zingwezingwe Mkoa wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XqMvbPM0ix0/VO38l5BD64I/AAAAAAABmco/T46rg_vBm7E/s72-c/BODI%2B2.jpg)
BODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAANGAMIZA TANI 8.5 ZA DAWA NA VYAKULA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-XqMvbPM0ix0/VO38l5BD64I/AAAAAAABmco/T46rg_vBm7E/s640/BODI%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jhjeV0C3F9k/VO381AjrVKI/AAAAAAABmcw/e8GqpRWckLg/s640/BODI%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TRi-8a7wuKA/VO3-36wLcZI/AAAAAAABmc8/-JA_3B0L1Qc/s640/0236.jpg)
9 years ago
MichuziBODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAANGAMIZA KONTENA TANO ZA BIDHAA ZILIZOHARIBIKA.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fk5HUvhu9Rg/U3UrT3dyt8I/AAAAAAAFh-w/29tD1GIl00A/s72-c/unnamed+(91).jpg)
WAFANYAKAZI WA BODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR WAPATA MAFUNZO YA SIKU TATU JUU UTOAJI HUDUMA BORA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-fk5HUvhu9Rg/U3UrT3dyt8I/AAAAAAAFh-w/29tD1GIl00A/s1600/unnamed+(91).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hnOHXn1lDsc/U3UrTzL0XRI/AAAAAAAFh-8/vDtAt-GfbmQ/s1600/unnamed+(92).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qfnUkAp5lAM/U3UrUNUHfpI/AAAAAAAFh-0/8iFO_-vVZzg/s1600/unnamed+(95).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EKOR-QlFan8/Vji1l9MSwuI/AAAAAAAIEDg/mlQATMBE6M8/s72-c/IMG_2455.jpg)
TANZAONE: MMEA WA ‘LOZERA’ HAUFAI KWA MATUMIZI YA BINADAMU
![](http://3.bp.blogspot.com/-EKOR-QlFan8/Vji1l9MSwuI/AAAAAAAIEDg/mlQATMBE6M8/s640/IMG_2455.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_tBtVmE9Us4/Vji1mG8MdYI/AAAAAAAIEDk/JeHdOXzkvYU/s640/IMG_2457.jpg)
TAASISI isiyo ya Kiserikali ya Tanzaone Herbal Clinic chini ya mradi wake wa ‘Tanzaone’ hatimaye imethibitisha pasipo shaka kuwa mmea ujulikanao kama Lozera na bidhaa zitokanazo na mmea huo hazifai kwa matumizi ya binadamu na wanyama.
Akizungumza na waandishi wa habari, sanjari na kuonyesha majibu ya vipimo vya kitaalamu kutoka Wakala wa Maabara ya Ofisi ya Mkemia Mkuu wa serikali kupitia utafiti uliofanywa chini...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OPxZMels_KU/VWb9FNAQnUI/AAAAAAAHaZw/TBDpYqONJ58/s72-c/0554fd477a37c37ec7068f94770a2a9b.jpg)
BODI YA CHAKULA,MADAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR KUJENGA MAABARA YA KISASA YA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPxZMels_KU/VWb9FNAQnUI/AAAAAAAHaZw/TBDpYqONJ58/s400/0554fd477a37c37ec7068f94770a2a9b.jpg)
Na Ali Issa Maelezo Zanzibar. Naibu waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mahamoud Thabiti Kombo amesema bodi ya Chakula, Madawa na Vipodozi inajenga maabara ya kisasa ya uchunguzi wa madawa , chakula na vipodozi ambayo itakuwa na ubora wa Kimataifa.
Hayo ameyasema leo huko Baraza la Wawakilishi nje kidogo ya Mji wa Zanzibar wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Muyuni Mhe. Jaku Hashimu Ayoub aliyetaka kujua...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OPxZMels_KU/VWb9FNAQnUI/AAAAAAAHaZw/TBDpYqONJ58/s72-c/0554fd477a37c37ec7068f94770a2a9b.jpg)
BODI YA CHAKULA,MADAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR KUJENGA MAABARA YA KISASA YA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPxZMels_KU/VWb9FNAQnUI/AAAAAAAHaZw/TBDpYqONJ58/s400/0554fd477a37c37ec7068f94770a2a9b.jpg)
Hayo ameyasema leo huko Baraza la Wawakilishi nje kidogo ya Mji wa Zanzibar wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Muyuni Mhe. Jaku Hashimu Ayoub aliyetaka kujua...
10 years ago
VijimamboJumuiya ya Afrika Mashariki yaandaa mafunzo kwa Bodi ya chakula, madawa na vipodozi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PfUvorCJUG4/Xk5ekka6O7I/AAAAAAALedQ/3qS-aoAtJjImcWHkVIoDcQgSQDHgKkbJgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2BN0%2B01..jpg)
WAKALA WA CHAKULA DAWA NA VIPODOZI WATOA ELIMU KWA MASHEHA WA WILAYA YA MJINI
Mkurugenzi wa Wakala wa Chakula Dawa na Vipodozi Zanzibar Dkt. Khamis Ali Omar amewataka wananchi kujitahadhari na matumizi ya chakula na dawa ambazo zimemaliza muda na vipodozi ambavyo havijathibitishwa ili kuepuka maradhi yatokanayo na sumu .
Hayo aliyasema huko katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mjini, Sebleni wakati akitoa Mafunzo ya usalama wa chakula dawa na vipodozi kwa Masheha wa Wilaya hiyo na kuwataka ushirikiano wa pamoja ili kuhakikisha wanathibitisha ...