TANZAONE: MMEA WA ‘LOZERA’ HAUFAI KWA MATUMIZI YA BINADAMU
![](http://3.bp.blogspot.com/-EKOR-QlFan8/Vji1l9MSwuI/AAAAAAAIEDg/mlQATMBE6M8/s72-c/IMG_2455.jpg)
Tabibu Gonzaga Marwa akiangalia baadhi ya mkopo ya Dawa jijini Dar es Salaam leo
TAASISI isiyo ya Kiserikali ya Tanzaone Herbal Clinic chini ya mradi wake wa ‘Tanzaone’ hatimaye imethibitisha pasipo shaka kuwa mmea ujulikanao kama Lozera na bidhaa zitokanazo na mmea huo hazifai kwa matumizi ya binadamu na wanyama.
Akizungumza na waandishi wa habari, sanjari na kuonyesha majibu ya vipimo vya kitaalamu kutoka Wakala wa Maabara ya Ofisi ya Mkemia Mkuu wa serikali kupitia utafiti uliofanywa chini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Le4opxu2f8A/VO9hGF25IbI/AAAAAAAHGGk/Svmle4dN2DM/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
BODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAANGAMIZA UNGA WA NGANO TANI 70 AMBAO HAUFAI KWA MATUMIZI YA BINADAMU
![](http://1.bp.blogspot.com/-Le4opxu2f8A/VO9hGF25IbI/AAAAAAAHGGk/Svmle4dN2DM/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HaLBiDzQ2TE/VO9hF-EioPI/AAAAAAAHGGg/mjT3-jx1SWs/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aWGHt4Gk1_Y/VO9hFtQ6voI/AAAAAAAHGGc/4dUTVvzYbk0/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FqaHjTB1zO0/VlTQ68Kt-qI/AAAAAAAIIRQ/z1xLdnKtUsg/s72-c/dk.marwa.jpg)
TANZAONE HERBAL CLINIC YAKANUSHA HABARI YA MMEA WA ROZELA
![](http://2.bp.blogspot.com/-FqaHjTB1zO0/VlTQ68Kt-qI/AAAAAAAIIRQ/z1xLdnKtUsg/s320/dk.marwa.jpg)
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Magereza 12 hayafai kwa matumizi ya binadamu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9mMjqhoep4k/VMKWaWrov5I/AAAAAAACyT4/9E3pcA9CGhY/s72-c/New%2BPicture.png)
TFDA YAFUTA USAJILI NA KUDHIBITI ZAIDI MATUMIZI YA BAADHI YA DAWA ZA BINADAMU NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-9mMjqhoep4k/VMKWaWrov5I/AAAAAAACyT4/9E3pcA9CGhY/s1600/New%2BPicture.png)
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imezifutia Usajili wa Dawa tano za Binadamu kutokana na kuwepo makosa mbalimbali. Hayo yameelewa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi mkuu TFDA Bwana Hiiti...
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Scholes asema mchezo wa Man U haufai
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Utaratibu huu wa kupitisha Katiba haufai
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Mmea unaokula wadudu
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Mmea wa Chikanda nusura kuangamia TZ
11 years ago
Habarileo16 Jun
Mmea wadaiwa kupunguza Ukimwi
MMEA wa asili unaostawi kwa wingi ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Kitulo, maarufu kwa jina la Chikanda, upo hatarini kutoweka kutokana na kuvunwa kiharamu na watu wanaoamini unasaidia kupunguza makali ya Ukimwi.