Mmea unaokula wadudu
Mmea mmoja unaokula wadudu unatumia nguvu za matone ya mvua ili kuwakamata wadudu hao,wanasayansi wamebaini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo16 Jun
Mmea wadaiwa kupunguza Ukimwi
MMEA wa asili unaostawi kwa wingi ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Kitulo, maarufu kwa jina la Chikanda, upo hatarini kutoweka kutokana na kuvunwa kiharamu na watu wanaoamini unasaidia kupunguza makali ya Ukimwi.
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Mmea wa Chikanda nusura kuangamia TZ
Mmea wa Chikanda Tanzania unakabiliwa na hatari ya kuangamia baada ya kuvamiwa na watu wanaoamini unatibu Ukimwi.
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Ugonjwa hatari utakaomaliza mmea wa ndizi.
Wanasayansi kote duniani wanashughulikia mbinu za kuzuia ndizi kupotea dunianai kufwatia ugonjwa wa Panama.
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Kigoma:Mmea ambao ni siri ya wanaume
Hata hivyo, alipozungumza na wenyeji wa eneo hilo linalojulikana kama Kabwe, akaelezwa mmea huo unaitwa Mlemela.
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Mmea hatari watumiwa kuzalisha kawi Kenya
Mmea wa Mathenge ulikuwa umegeuka kero maeneo mengi Kenya lakini sasa umekuwa baraka baada ya kuanza kutumiwa kuzalisha kawi.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FqaHjTB1zO0/VlTQ68Kt-qI/AAAAAAAIIRQ/z1xLdnKtUsg/s72-c/dk.marwa.jpg)
TANZAONE HERBAL CLINIC YAKANUSHA HABARI YA MMEA WA ROZELA
TUNAOMBA RADHI KWA HABARI ILIYOTOKA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KWAMBA MMEA WA ROZELA HAUFAI KWA MATUMIZI YA BINADAMU ILIKUWA SIO SAHIHI
Sampuli iliyochunguzwa na Mkemia mkuu wa serikali Lab no. 241|2013 kwa jina la Tanzaone Red Jea Juice ndio iliyochunguzwa na kuonekana kuwa haifai kwa matumizi ya binadamu na haina uhusiano wowote na Rozela na matumizi yake.Akizungumza na waandishi wa habari Tabibu Mkuu wa Tanzaone Dk.Marwa aliwaomba radhi wakala wa mkemia mkuu wa Serikali, watanzania wote...
![](http://2.bp.blogspot.com/-FqaHjTB1zO0/VlTQ68Kt-qI/AAAAAAAIIRQ/z1xLdnKtUsg/s320/dk.marwa.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EKOR-QlFan8/Vji1l9MSwuI/AAAAAAAIEDg/mlQATMBE6M8/s72-c/IMG_2455.jpg)
TANZAONE: MMEA WA ‘LOZERA’ HAUFAI KWA MATUMIZI YA BINADAMU
![](http://3.bp.blogspot.com/-EKOR-QlFan8/Vji1l9MSwuI/AAAAAAAIEDg/mlQATMBE6M8/s640/IMG_2455.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_tBtVmE9Us4/Vji1mG8MdYI/AAAAAAAIEDk/JeHdOXzkvYU/s640/IMG_2457.jpg)
TAASISI isiyo ya Kiserikali ya Tanzaone Herbal Clinic chini ya mradi wake wa ‘Tanzaone’ hatimaye imethibitisha pasipo shaka kuwa mmea ujulikanao kama Lozera na bidhaa zitokanazo na mmea huo hazifai kwa matumizi ya binadamu na wanyama.
Akizungumza na waandishi wa habari, sanjari na kuonyesha majibu ya vipimo vya kitaalamu kutoka Wakala wa Maabara ya Ofisi ya Mkemia Mkuu wa serikali kupitia utafiti uliofanywa chini...
10 years ago
BBCSwahili04 Jul
Wadudu wanaoruka polepole
wanasayansi nchini Uingereza wamechukua kanda za video za wadudu wanaoruka polepole
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/yl4Fi7RVqQo/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania