Kigoma:Mmea ambao ni siri ya wanaume
Hata hivyo, alipozungumza na wenyeji wa eneo hilo linalojulikana kama Kabwe, akaelezwa mmea huo unaitwa Mlemela.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpwn0ODj2CaeKIfnmjnrVBaRc7ad3hQs35e1t4b6BtRGwK*Y9NSwXrhpoZwV*jvSjBYbcXJgeY0wlRyHCltxsTPT/koleta.jpg?width=650)
KOLETA ATOBOA SIRI YA KUCHUKIA WANAUME!
Na Brighton Masalu
MSANII wa maigizo na filamu, Coletha Raymond ‘Koleta’ amefunguka na kutoboa siri ya moyoni juu ya chanzo cha kuwachukia wanaume huku akisisitiza kuendelea kuwa peke yake na kuifanya pombe ndiyo faraja kubwa. Coletha Raymond ‘Koleta’. Akizungumza na mwandishi wetu kwa njia ya simu mwanzoni mwa wiki hii, Koleta alisema kamwe hawezi kusahau maumivu aliyopewa na mchumba wake wa zamani...
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Siri ya wanaume kupenda kuvaa suruali nyeusi
Nimesimama Kituo cha Daladala Mbezi Mwisho, saa moja asubuhi kusubiri usafiri wa kuelekea kazini. Watu ni wengi, kila mmoja yuko makini kufuatilia mabasi yanayoingia kituoni hapo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El89K8-DNKF79Ekucw5gIrZ4mnjQzzJyQa2sZCDaEeEsAGhxVfyYkr*h*sUXOhgj8AQM6CvACwYqsK8xbYOKot72/l.jpg?width=650)
AMANDA AANIKA SIRI NZITO YA KUTOWAPENDA WANAUME
Stori: Gladness Mallya/Risasi
MWANADADA kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Amanda Poshi amefunguka na kueleza siri nzito kuwa hawapendi wanaume kutokana na kufiwa na mchumba wake muda mfupi baada ya kuzungumza naye miaka…iliyopita. Mwanadada kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Amanda Poshi. Akipiga stori na…
10 years ago
Vijimambo12 May
LULU AANIKA SIRI YA KUTEMBEA NA WANAUME WALIOMZIDI UMRI
![](http://api.ning.com/files/t3ZSopUVDgZeV3VKVmnXsXWB0N-MTYQmTvq-7rFwrTjeqyExZK2g8Q-Hvbo4kCLSyOmxHsSLVUGSqGhNamxPRIzuRvKpCM0D/lulu2.jpg?width=650)
Funguka! Sexy lady kunako sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa anapenda kuminya ‘ku-date’ na wanaume wanaomzidi umri kwa sababu wanakuwa na nafasi nyingi katika maisha yake.Elizabeth Michael ‘Lulu’Akizungumza runingani juzikati, Lulu alisema anapenda kuwa na wanaume wanaomzidi kwa sababu wana nafasi tatu katika maisha yake ya kawaida, wanakuwa kama kaka, baba na mpenzi.“Siwezi kuwa na mwanaume ambaye tunalingana kwa sababu atakuwa hana sifa hizo,” alisema...
10 years ago
Mwananchi27 Feb
‘Warts’ ugonjwa unaoathiri sehemu za siri za wanaume, wanawake
Ni ugonjwa ambao pia unaweza ukatokea kwenye kiungo chochote cha mwili kama vile usoni na mikononi.
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Mmea unaokula wadudu
Mmea mmoja unaokula wadudu unatumia nguvu za matone ya mvua ili kuwakamata wadudu hao,wanasayansi wamebaini.
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Mmea wa Chikanda nusura kuangamia TZ
Mmea wa Chikanda Tanzania unakabiliwa na hatari ya kuangamia baada ya kuvamiwa na watu wanaoamini unatibu Ukimwi.
11 years ago
Habarileo16 Jun
Mmea wadaiwa kupunguza Ukimwi
MMEA wa asili unaostawi kwa wingi ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Kitulo, maarufu kwa jina la Chikanda, upo hatarini kutoweka kutokana na kuvunwa kiharamu na watu wanaoamini unasaidia kupunguza makali ya Ukimwi.
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Ugonjwa hatari utakaomaliza mmea wa ndizi.
Wanasayansi kote duniani wanashughulikia mbinu za kuzuia ndizi kupotea dunianai kufwatia ugonjwa wa Panama.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania