Mmea wadaiwa kupunguza Ukimwi
MMEA wa asili unaostawi kwa wingi ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Kitulo, maarufu kwa jina la Chikanda, upo hatarini kutoweka kutokana na kuvunwa kiharamu na watu wanaoamini unasaidia kupunguza makali ya Ukimwi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Jul
UN imetimiza lengo la kupunguza Ukimwi
Lengo la kupunguza maambukizi ya ukimwi kufikia 2015 limefikiwa kwa mujibu wa shirika la umoja wa mataifa UN Aids
11 years ago
Michuzi
TACAIDS yathibitisha upatikanaji wa dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (RAVs) nchini



10 years ago
GPL
RAIS ZUMA KUPITISHA SHERIA YA WATU WENYE VVU KUWEKEWA ALAMA SEHEMU NYETI, ITASAIDIA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA UKIMWI?
BAADA vurugu za wenyeji kuwashambulia wageni, Afrika Kusini imetengeneza tena 'headilines' baada ya Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma kusaini muswada ambao utawalazimu watu wote watakaogundulika kuwa na Virusi vya HIV kuwekewa alama jirani na sehemu zao nyeti. Kuanzia sasa mtu atakayepimwa na kugundulika kuwa na VVU nchini Afrika Kusini hatapewa ushauri nasaha peke yake, bali pia atachorwa tattoo kuonyesha kuwa ameathirika. "Alama...
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Mmea unaokula wadudu
Mmea mmoja unaokula wadudu unatumia nguvu za matone ya mvua ili kuwakamata wadudu hao,wanasayansi wamebaini.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Kupunguza uchumi wa taslimu uwe mkakati wa kupunguza ujambazi
MATUKIO ya majambazi kuwavamia watu na kuwakuta na fedha nyingi ni mengi. Juzi sista wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makoka – Dar es Salaam, alivamiwa na kupigwa risasi na majambazi,...
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Mmea wa Chikanda nusura kuangamia TZ
Mmea wa Chikanda Tanzania unakabiliwa na hatari ya kuangamia baada ya kuvamiwa na watu wanaoamini unatibu Ukimwi.
11 years ago
BBCSwahili17 Oct
Kigoma:Mmea ambao ni siri ya wanaume
Hata hivyo, alipozungumza na wenyeji wa eneo hilo linalojulikana kama Kabwe, akaelezwa mmea huo unaitwa Mlemela.
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Ugonjwa hatari utakaomaliza mmea wa ndizi.
Wanasayansi kote duniani wanashughulikia mbinu za kuzuia ndizi kupotea dunianai kufwatia ugonjwa wa Panama.
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Mmea hatari watumiwa kuzalisha kawi Kenya
Mmea wa Mathenge ulikuwa umegeuka kero maeneo mengi Kenya lakini sasa umekuwa baraka baada ya kuanza kutumiwa kuzalisha kawi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania