Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadudu wanaoruka polepole

wanasayansi nchini Uingereza wamechukua kanda za video za wadudu wanaoruka polepole

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mmea unaokula wadudu

Mmea mmoja unaokula wadudu unatumia nguvu za matone ya mvua ili kuwakamata wadudu hao,wanasayansi wamebaini.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Jamtz.Com

11 years ago

Habarileo

‘Wadudu wa dampo’wafanya uhalifu Dodoma

KUNDI kubwa la vijana wanaojiita ‘wadudu wa dampo’ limeibuka mjini hapa na kufanya matukio ya uhalifu huku likihusishwa na mauaji ya watu wanne, jambo lililozua hofu na taharuki kwa wananchi.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

POLEPOLE: KATIBA MPYA IMEJAA UONGO-2

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tanzania Youth Coalition (TYC), Humphrey Polepole. Watu wengi wamekuwa wakiichambua Katiba Iliyopendekezwa  ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo inatarajiwa kupigiwa kura ya ndiyo au hapana na Watanzania Aprili 30, mwaka huu kama alivyotangaza Rais Jakaya Kikwete. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tanzania Youth Coalition (TYC), Humphrey Polepole anaendelea kuichambua katiba...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda atembelea kiwanda chaviua wadudu Kibaha

PG4A1825

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiakagua mitambo ya kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu kinachojengwa na watalaamu kutoka Cuba, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1837

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Watalaamu kutoka Cuba wanaojenga kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1842

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua kiwanda cha kutengeneza dawa za wadudu hasa Mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8,...

 

11 years ago

Mwananchi

Nchemba, Polepole watofautiana kuhusu gharama za Shirikisho

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema vyanzo vya mapato vilivyopendekezwa katika Rasimu ya Katiba, havitoshi kuendesha Serikali ya shirikisho.

 

11 years ago

Mwananchi

Polepole: Anayezuia mijadala amepoteza sifa za uongozi

Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Humphrey Polepole amesema makongamano na mijadala inayohusu Katiba mpya yataendelea kwa sababu ni ya lazima pia ni haki ya kikatiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani