‘Wadudu wa dampo’wafanya uhalifu Dodoma
KUNDI kubwa la vijana wanaojiita ‘wadudu wa dampo’ limeibuka mjini hapa na kufanya matukio ya uhalifu huku likihusishwa na mauaji ya watu wanne, jambo lililozua hofu na taharuki kwa wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
NANE (8) MBARONI KWA MAKOSA MBALIMBALI YA UHALIFU MKOANI DODOMA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu nane kwa makosa mbalimbali ya uhalifu kufuatia msako uliofanyika tarehe 01/04/2014 maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME - SACP amesema tukio la kwanza alikamatwa SIMON S/O MTUNDU, miaka 51, Kabila Mhehe, mkulima na mkazi wa kijiji cha Kisisi Kata ya Kimagiyi Tarafa na Wilaya ya Mpwapwa, akimiliki silaha aina...
5 years ago
Michuzi
Muwakilishi wa Watanzania waishio Marekani wafanya ziara ya gereza la isanga Dodoma
Alhaj Issihaka Kibodya muwakilishi wa Watanzania waishio marekani na ustadh Sefu Jongo toka Masjid Noor barabara ya 9 hapa Dodoma walifanya juhudi ya kuwasiliana na gereza la Isanga hapa Dodoma na kupata mahitaji ya wafungwa wa kiislaam na taratibu ya kupeleka dawa, vifaa tiba, sabuni na dawa za mswaki.
Pichani ustadh Sefu Jongo kushoto, Alhaj Issihaka Kibodya katikati wakimkabidhi mkuu wa Gereza la Isanga afande SSP Fredrick Wambura na pembeni yake ni Dr. Pantaleo mganga Mkuu wa Gereza la...

11 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAWASHIKILIA WATU AROBAINI NA TANO KWA MAKOSA MBALIMBALI YA UHALIFU
Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linashikilia arobaini na tano kwa makosa mbalimbali ya uhalifu katika msako wa wahalifu uliofanyika tarehe kati ya tarehe 27/02/2014 hadi 01/03/2014.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi David A. Misime - SACP amesema tarehe 27/02/2014 walikamatwa jumla a watuhumiwa 42 kwa makosa...
11 years ago
Michuzi.jpg)
WATENDAJI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI YA KUWASILISHA BAJETI BUNGENI DODOMA KESHO
.jpg)
.jpg)
10 years ago
VijimamboWAUMINI WA DINI YA KIISLAMU WAFANYA IBADA KUBWA YA EID EL HAJJ KATIKA VIWANJA VYA BARAFU MIJINI DODOMA
10 years ago
MichuziViongozi mbalimbali wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO) wafanya ziara Bungeni Mjini Dodoma
10 years ago
MichuziKAMATI ZA MAAFA MKOANI DODOMA WAFANYA TATHMINI YA MPANGO WA KUJIANDAA NA KUKABILIANA NA MAAFA
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Mmea unaokula wadudu
Mmea mmoja unaokula wadudu unatumia nguvu za matone ya mvua ili kuwakamata wadudu hao,wanasayansi wamebaini.
10 years ago
BBCSwahili04 Jul
Wadudu wanaoruka polepole
wanasayansi nchini Uingereza wamechukua kanda za video za wadudu wanaoruka polepole
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania