Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkasi na Humphrey Polepole

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

The Citizen Daily

CCM’s Humphrey Polepole in court to pay Dr Mashinji’s fine

CCM’s Humphrey Polepole in court to pay Dr Mashinji’s fine  The Citizen Daily

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

HUMPHREY POLEPOLE: AIPIGIA KAMPENI CCM KWA KUSINGIZIA RASIMU YA WARIOBA

Natumai humajambo ndugu Watanzania Wa Tanganyika na Zanzibar. Na assalamu alaikhum ndugu wote Waislamu muliopo ndani na Nje ya Visiwa vyetu adhimu. Ama kwakuanza makala yangu hii nimeweza kufuatilia Humphrey Polepole. Kijana ambae alikuwa Makini kuitetea […]

The post HUMPHREY POLEPOLE: AIPIGIA KAMPENI CCM KWA KUSINGIZIA RASIMU YA WARIOBA appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Michuzi

HOJA YA HAJA: BARUA YA WAZI KWA GAZETI LA MWANANCHI NA BWANA HUMPHREY POLEPOLE KUHUSU URAIA PACHA KWA WATANZANIA.

Naomba unipe nafasi nitoe maoni yangu kuhusu Uraia pacha nikijbu maoni yaliyoandikwa kwenye gazeti la mwananchi na bwana Humphrey Polepole. Maoni yake yamenishangaza sana na mtu huyu anaonekana ana hujuzi kidogo katika mambo ya uandishi na ameamua kutumua ujuzi wake kudanganya watu kuhusu swala hili la urahia pacha kwa watanzania.

Napenda iheleweke kwamba urahia pacha sio kitu kigeni Tanzania. Kimsingi na kimazingira Tanzania inaruhusu urahia pacha. 
1.kwa watanzania wote walio na wazazi wenye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wadudu wanaoruka polepole

wanasayansi nchini Uingereza wamechukua kanda za video za wadudu wanaoruka polepole

 

10 years ago

Jamtz.Com

10 years ago

Dewji Blog

Mwanahabari Humphrey Kisika atangaza kumvaa Kayombo mbunge wa Mbinga Mashariki katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu

ggggggggggg

Afisa Habari wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Humphrey Kisika (32).

Na Fredy Mgunda

Katika kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika octoba mwaka huu Afisa Habari na Mahusiano wilaya ya Iringa Hafley Kisika ametangaza kugombea ubunge katika jimbo la Mbinga mashariki kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM, ili kuleta maendeleo katika jimbo hilo.

Akizungumza na waandishi wa habari KISIKA amesema kuwa sababu inayompelekea kugombea ubunge katika jimbo hilo ni pamoja na kuleta siasa...

 

10 years ago

GPL

POLEPOLE: KATIBA MPYA IMEJAA UONGO-2

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tanzania Youth Coalition (TYC), Humphrey Polepole. Watu wengi wamekuwa wakiichambua Katiba Iliyopendekezwa  ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo inatarajiwa kupigiwa kura ya ndiyo au hapana na Watanzania Aprili 30, mwaka huu kama alivyotangaza Rais Jakaya Kikwete. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tanzania Youth Coalition (TYC), Humphrey Polepole anaendelea kuichambua katiba...

 

11 years ago

Mwananchi

Nchemba, Polepole watofautiana kuhusu gharama za Shirikisho

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema vyanzo vya mapato vilivyopendekezwa katika Rasimu ya Katiba, havitoshi kuendesha Serikali ya shirikisho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani