‘Serikali ichunguze watoto kutopelekwa shule’
SERIKALI imetakiwa kuacha kuwakamata wazazi ambao watoto wao wamefaulu kujiunga na kidato cha kwanza, lakini hadi sasa hawajaripoti na badala yake ichunguze kinachosababisha washindwe kuwapeleka shule. Akizungumza na Tanzania Daima...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Sep
Fedha za shule kutopelekwa halmashauri
SERIKALI sasa inatarajia kuanza utaratibu mpya wa kupeleka fedha za ruzuku katika shule za msingi na sekondari nchini moja kwa moja kwenye akaunti ya shule badala ya kupitia katika halmashauri. Hayo yamebainishwa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa.
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Msigwa ataka serikali ichunguze kampuni kubwa halali za uwindaji
9 years ago
VijimamboBUNGE LA WATOTO OYSTERBAY SHULE YA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
Abdallah Waziri - ambaye ni mmoja wa watoto wa mitaani aliyerudishwa shule kwenye kikao cha leo.
Abdallah Waziri, Asia Mtibua na Mwalimu Gaudensia Igoshalimo wakimkaribisha Abdallah Waziri shuleni.
Mmoja wa wajumbe akitoa maoni yake katika kikao cha bunge katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani akifuatilia hoja kwa makini.wakati kikao cha bunge la watoto likiendelea katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa...
9 years ago
MichuziBUNGE LA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Wito watolewa Congo ichunguze makaburi
10 years ago
Mwananchi05 Sep
TFDA ichunguze ukweli kuhusu dawa hizi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtExLKyaKI8e4JqNEXDaCjv5a7P0tVPE3uSKh3bzTk8bPhwE9GzWhPFhHsl8Px3G3jyw8-h8O-clzxHChjLzUA8yV/diamond21.jpg?width=650)
DIAMOND AFUNGUKA WATOTO WA SHULE!
10 years ago
Habarileo31 Jan
Watoto milioni 2 hawako shule
ZAIDI ya watoto milioni 1.7 wenye rika lengwa waliopaswa kuwepo shule, hawapo kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za kutoandikishwa, kuacha na kutoroka.