Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nape azungumzia midahalo inayoendelea

1

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) na ambapo alisema kitendo cha Tume ya Katiba kukishambulia na kukisakama Chama Cha Mapinduzi haikuwa sawa na hakitovumilika, aliendelea kusema kuwa utaratibu huu wa baadhi ya wajumbe wa tume kumkejeli Mwenyekiti wa CCM Taifa hauvumiliki na haukubaliki hata kidogo.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Nape azungumzia sababu za kuchelewa kwa Vikao vya CCM, Mjini Dodoma

KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Nape Nnauye, akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma leo asubuhi Julai 10, 2015. 
Nape amesema, leo hii majina matano ya makada wa chama hicho walioomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yatajulikana, na kufuatia majina matatu ya makada hao ambayo yatapelekwa mbele ya Mkutano Mkuu utakaofanyika Jumamosi Julai 11, 2015. 
Nape amesema vikao vyote...

 

11 years ago

BBCSwahili

Midahalo ya misaada Malawi

Kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 20, BARUAN MUHUZA anaangazia namna midahalo kuhusiana na misaada ilivyotawala siasa za Malawi.

 

11 years ago

Mwananchi

Umeme wa maji: Teknolojia kongwe inayoendelea kuikoa Tanzania

Dunia kila siku inabadilika, uzalishaji wa nishati ya umeme nao umekuwa ukibadilika kadri teknolojia zinavyobuniwa na kukua.

 

10 years ago

Mwananchi

Midahalo ya wagombea urais yaja

Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa) na ITV/ Radio One wamesaini makubaliano ya kuandaa midahalo ya wagombea wa urais kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Wagombea urais wasikwepe midahalo

Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salam (Udasa) juzi ilitangaza mpango wake wa kuendesha midahalo ya wagombea urais wakati wa kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika mwezi Oktoba.

 

11 years ago

Michuzi

USHIRIKI WA TANZANIA KATIKA MIKUTANO INAYOENDELEA HAPA UMOJA WA MATAIFA

 Na Mwandishi Maalum   Wajumbe wanaoiwakilisha Tanzania katika Mkutano wa 45 wa Kamisheni ya Takwimu ya Umoja wa Mataifa na Mkutano wa wazi wa Tisa wa Kikosi Kazi kuhusu mapendekezo ya ajenda za malengo mpya ya maendeleo endelevu baada ya 2015 ( SDGs), wamendelea kutetea maslahi ya Tanzania kwa kushiriki na kuchangia majadiliano ya mada mbalimbali zinazohusiana na mikutano hiyo.   Akichangia katika mada iliyohusu Technolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) ambayo...

 

9 years ago

MillardAyo

Wizara ya ardhi ina haya kuhusu Bomoabomoa inayoendelea Bonde la Msimbazi

Bomoabomoa bonde la Msimbazi imeanza tayari na baadhi ya nyumba tayari zimeshabomolewa katika eneo la Hananasifu, Kinondoni Charles Mkalawa ambaye ni Afisa mipango miji Wizara ya Ardhi alikuwa eneo la tukio na kuzungumza na millardayo.com kuhusu bomoabomoa inayoendelea katika baadhi ya meneo Wananchi hawkauwa na taarifa na bomoabomoa..“Serikali inabidi itambue hii hadithi ya kuwatafutia watu […]

The post Wizara ya ardhi ina haya kuhusu Bomoabomoa inayoendelea Bonde la Msimbazi appeared first...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani