Nape azungumzia midahalo inayoendelea
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) na ambapo alisema kitendo cha Tume ya Katiba kukishambulia na kukisakama Chama Cha Mapinduzi haikuwa sawa na hakitovumilika, aliendelea kusema kuwa utaratibu huu wa baadhi ya wajumbe wa tume kumkejeli Mwenyekiti wa CCM Taifa hauvumiliki na haukubaliki hata kidogo.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Michuzi
Nape azungumzia sababu za kuchelewa kwa Vikao vya CCM, Mjini Dodoma
Nape amesema, leo hii majina matano ya makada wa chama hicho walioomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yatajulikana, na kufuatia majina matatu ya makada hao ambayo yatapelekwa mbele ya Mkutano Mkuu utakaofanyika Jumamosi Julai 11, 2015.
Nape amesema vikao vyote...
10 years ago
Michuzi
11 years ago
BBCSwahili19 May
Midahalo ya misaada Malawi
11 years ago
Mwananchi23 Sep
Umeme wa maji: Teknolojia kongwe inayoendelea kuikoa Tanzania
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Midahalo ya wagombea urais yaja
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Wagombea urais wasikwepe midahalo
11 years ago
Michuzi.jpg)
USHIRIKI WA TANZANIA KATIKA MIKUTANO INAYOENDELEA HAPA UMOJA WA MATAIFA
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Wizara ya ardhi ina haya kuhusu Bomoabomoa inayoendelea Bonde la Msimbazi
Bomoabomoa bonde la Msimbazi imeanza tayari na baadhi ya nyumba tayari zimeshabomolewa katika eneo la Hananasifu, Kinondoni Charles Mkalawa ambaye ni Afisa mipango miji Wizara ya Ardhi alikuwa eneo la tukio na kuzungumza na millardayo.com kuhusu bomoabomoa inayoendelea katika baadhi ya meneo Wananchi hawkauwa na taarifa na bomoabomoa..“Serikali inabidi itambue hii hadithi ya kuwatafutia watu […]
The post Wizara ya ardhi ina haya kuhusu Bomoabomoa inayoendelea Bonde la Msimbazi appeared first...