Wadau: Dk. Magufuli afute matibabu ya vigogo nje ya nchi
KASI ya kubadili mfumo wa utendaji serikalini aliyoanza nayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanza
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Matibabu ya viongozi nje ya nchi yanaligharimu taifa
KWA muda mrefu kumekuwa na kilio cha wabunge na wananchi wa kawaida kupinga tabia na utamaduni wa tangu enzi wa kuwapeleka viongozi wetu kwenda kupata matibabu nje ya nchi badala...
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Wadau wa kilimo EAC walilia kuuza mazao nje ya nchi
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Magufuli afuta safari zote za nje ya nchi kuanzia leo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-j3S6rO7SF_w/XonunN3WRWI/AAAAAAALmEs/xhaHgCK_jrIHGRdExrXFGSOuDsXdqTN2wCLcBGAsYHQ/s72-c/C6Y4mVSWAAAmRiR.jpg)
Wasafiri kutoka nje ya nchi kupelekwa karantini Hosteli za Magufuli
![](https://1.bp.blogspot.com/-j3S6rO7SF_w/XonunN3WRWI/AAAAAAALmEs/xhaHgCK_jrIHGRdExrXFGSOuDsXdqTN2wCLcBGAsYHQ/s640/C6Y4mVSWAAAmRiR.jpg)
Na WAMJW-Dar es Salaam
Serikali imetangaza rasmi kwamba wasafiri wote kutoka nchi za nje zilizoathirika na ugonjwa wa Corona watalazimika kukaa karantini kwa muda wa siku 14 katika hosteli za Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam maarufu hosteli za Magufuli.
Akizungumza katika hosteli za Magufuli, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema wasafiri hao watafikia katika hosteli za Magufuli ambazo zipo katika eneo la Ubungo Jijini Dar es Salaam.
“Lengo ni...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VFUKRz78mU0/Vf8D8yT0oYI/AAAAAAAH6Yk/exCuW7gHki4/s72-c/_MG_8020.jpg)
Mama janeth magufuli akonga nyoyo za watanzania ndani na nje ya nchi
![](http://3.bp.blogspot.com/-VFUKRz78mU0/Vf8D8yT0oYI/AAAAAAAH6Yk/exCuW7gHki4/s640/_MG_8020.jpg)
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Kilichowakuta Watumishi wanne wa serikali waliosafiri kwenda nje ya nchi bila ruhusa ya Rais Magufuli
Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani alifuta safari za Watumishi wa serikali nje ya nchi na iwapo itatokea kuna safari za nje, ruhusa ni lazima itoke kwake au kwa katibu mkuu kiongozi, baada ya hayo kuna Watumishi wanne ambao wamekwenda nje ya nchi bila ruhusa yake, wamezungumziwa kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za […]
The post Kilichowakuta Watumishi wanne wa serikali waliosafiri kwenda nje ya nchi bila ruhusa ya Rais Magufuli appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Walio nje ya nchi waonyeshe kwa vitendo watasaidia vipi nchi
TUMESHAZOEA maneno ya wanasiasa wanapopiga kampeni za kutafuta kuchaguliwa na wananchi. Wengi wao wanakuja na ahadi kemkem kama njia ya kutaka kuwavutia watu kuwa wao ndio wanafaa katika nafasi hiyo...
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Wadau wasaidie Albino kupatiwa matibabu saratani ya ngozi
WATU wenye ulemavu wa ngozi (albino), wamekuwa wakisumbuliwa na maradhi ya ngozi hususan saratani ya ngozi. Maradhi hayo hadi sasa, baadhi ya watu huyachukulia kuwa labda hayana tiba, hiyo inatokana...
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Rais Sata asafiri nje kwa matibabu