Ndoa saba zabarikiwa kwa mpigo ibada ya Mwaka Mpya
NDOA saba zimebarikiwa katika ibada ya Mwaka mpya, iliyofanyika katika Kanisa la la Anglikana la Mtakatifu Yohana Mbatizaji Minyonyoni, Kigogo Luhanga, jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo502 Jan
Akon aachia nyimbo 5 mpya kwa mpigo kutoka kwenye album mpya ‘Stadium’
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-84zJqslmfdg/VobJBmTUUFI/AAAAAAAIP0g/jPGYHj7wrus/s72-c/unnamed.jpg)
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Message za mapenzi zilivyoyumbisha ndoa siku ya mkesha wa mwaka mpya Dar.. (+Audio)
Timu ya ‘Leo Tena‘ huwa ina mkusanyiko wa matukio mbalimbali ya mtaani… basi leo January 6 2016 ‘Hekaheka‘ ina stori ya mkasa wa mama mmoja ambaye siku ya mkesha wa mwaka mpya alishtukia ishu ya uhusiano wa chinichini kati ya rafiki yake na mumewe, hiyo ilikuwa baada ya kukuta message kwenye simu ya mumewe. Basi […]
The post Message za mapenzi zilivyoyumbisha ndoa siku ya mkesha wa mwaka mpya Dar.. (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-G-Vb6_fGPjk/VEdDi-GDOqI/AAAAAAADKV4/lioB36iJPzQ/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Katiba mpya itatowesha madhila ya sheria kandamizi ya ndoa ya mwaka 1971: Dk Chana
![](http://2.bp.blogspot.com/-G-Vb6_fGPjk/VEdDi-GDOqI/AAAAAAADKV4/lioB36iJPzQ/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
Juhudi za kutokomezwa kwa ndoa na mimba za utotoni huenda ziakatimia nchini Tanzania baada ya kuingizwa kwa kipengele cha kumtambua mtoto kuwa ni mtu yeyote aliyeko chini ya umri wa miaka 18 katika rasimu ya katiba. Amesema naibu waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto Dk Pindi Chana.
Katika mahojiano maaluma na Joseph Msami wa idhaa hii muda mfupi baada ya kuhutubia baraza kuu la Umoja wa Mataifa, Dk...
10 years ago
Vijimambo01 Jan
Heri ya Mwaka Mpya - Karibu Ibada ya Kwanza 2015 - Jumapili 01/04/2015 Kuanzia Saa tisa na nusu alasiri
Ibada ya Kiswahili Columbus inawakaribisha wote kwenye ibada ya kwanza ya Kiswahili kwa mwaka mpya wa 2015.
Karibuni wote tumwabudu Mungu na kumshukuru baraka zake ambazo zimetufikisha mwaka mpya.
Tafadhali mkaribishe rafiki/jirani yako. Mbarikiwe!
![Heri ya Mwaka Mpya! Ibada ya Kiswahili Columbus inawakaribisha wote kwenye ibada ya kwanza ya Kiswahili kwa mwaka mpya wa 2015. Karibuni wote tumwabudu Mungu na kumshukuru baraka zake ambazo zimetufikisha mwaka mpya. Tafadhali mkaribishe rafiki/jirani yako. Mbarikiwe!](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/UvO5wOXEsaHp0RsLa6A3IlNblTNHlte9RKKnlgJcRgZHRLHPFBBUiEY-Y9K0okmeWcL0dSK9cQhwS0MGgZm6eiFJwEheyGF8lgfqYFms1C_MrrHWBXmW1n-wTANFwUEv3A0RxDEqm96uV52cVej3nAsFIEUDxOymZYdLNNVHBBUxXGvLHIxIV6IOY_BP9CZ4w46FV7JyMpVEai5WZK1_iZtcOhshkWkEhTnMDa_Q6pilSo8AOM6xqYC_Tk9Ti8Mx_3qyPmZCtyBDSKwlvTnAmoIYU_xHx-KerdOi9CbddFgCntood8pvNkH1fLSUK7X5GnrgBMf4cwgf=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/q90/p235x350/1939524_849965588395753_7505627267144143561_n.jpg?oh=88621761a202daa559bfca32c6366523&oe=55433E0E&__gda__=1429298227_d3cbbf1c7a8d755f337bda3af9de7152)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPuXLar6G9OlTN2Vojnpm1c1YyOoIOtVm4-ZxOekptakXjXAxyA24Diw9qt0W0gOigVvxKs3s0Fa9IJ3Wv1FO2Vd/MwanachamaMpya.jpg?width=650)
PSPF YAPATA MWANACHAMA MPYA NDANI YA MAENESHO YA SABA SABA
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Kabla ya kuuanza mwaka mpya, kutana na video ya matukio ya soka ya kuchekesha kwa mwaka 2015 …
Mtu wangu wa nguvu najua tunaelekea kuuaga mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016. Kaabla ya kumalizika mwaka 2015 naomba nikusogezee video ya matukio ya kuchekesha katika soka yaliyotokea kwa mwaka 2015. Katika hii video kuna matukio ya Pep Guardiola na Frank Ribery. Jamaa kumbiss Zlatan Ibrahimovic. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka […]
The post Kabla ya kuuanza mwaka mpya, kutana na video ya matukio ya soka ya kuchekesha kwa mwaka 2015 … appeared first on...
10 years ago
MichuziMAKAMPUNI 1500 TOKA HAPA NCHINI NA 400 TOKA NJE YA NCHI YATARAJIWA KUSHIRIKI MAONYESHO YA SABA SABA MWAKA 2015
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, chanzo cha ongezeko la mimba na ndoa za utotoni nchini
Mratibu wa Utetezi Taifa, SOS Tanzania/Zanzibar, John Batista, akizungumza katika Mdahalo wa Nijali uliolenga ndoa za utotoni na mimba za utotoni kwa kushirikisha Chama cha Waandishi wa Habari za Watoto, (TAJOC) na wengine, uliofanyika leo katika Hoteli Regency jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog.com
Imeelezwa kuwa, kuongezeka kwa ndoa za utotoni inatokana na sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kuendelea kutumika wakati hali yake ni mbaya kwa watoto wakike kushindwa kufikia ndoto...