Message za mapenzi zilivyoyumbisha ndoa siku ya mkesha wa mwaka mpya Dar.. (+Audio)
Timu ya ‘Leo Tena‘ huwa ina mkusanyiko wa matukio mbalimbali ya mtaani… basi leo January 6 2016 ‘Hekaheka‘ ina stori ya mkasa wa mama mmoja ambaye siku ya mkesha wa mwaka mpya alishtukia ishu ya uhusiano wa chinichini kati ya rafiki yake na mumewe, hiyo ilikuwa baada ya kukuta message kwenye simu ya mumewe. Basi […]
The post Message za mapenzi zilivyoyumbisha ndoa siku ya mkesha wa mwaka mpya Dar.. (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers29 Dec
10 years ago
GPLMASHAUZI WAZIDI KUNOGESHA MKESHA WA MWAKA MPYA 2015 DAR LIVE
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Shoo ya Utangulizi Mkesha wa Mwaka Mpya Dar Live noma sana!
Malaika Band wakikamua shoo ya utangulizi ndani ya Dar Live.
Makamuzi yakiendelea
….mpiga Drama akifanya yake.
….mpiga gita naye akitoa vionjo vyake.
Nyomi waliofika Dar Live kushuhudia shoo ya kufunga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016
Shabiki maarufu wa Yanga, Mama Tunu akicheza jukwaani wakati wa shoo hiyo.
Mashabiki wakijiachia jukwaani
…ni full kijiachia kuukaribisha 2016.
PICHA NA DENIS MTIMA/GPL
9 years ago
Bongo529 Dec
Tekno wa Nigeria kutumbuiza jijini Dar kwenye mkesha wa mwaka mpya
![tekno-miles-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/tekno-miles-1-300x194.jpg)
Msanii wa Nigeria anayefanya vizuri kwa sasa na hit song yake ‘Duro’, Tekno Miles anatarajiwa kutua jijini Dar es salaam wiki hii kwaajili ya kufunga mwaka na mashabiki wake wa Tanzania.
Tekno ambaye wiki chache zilizopita ameachia wimbo mpya ‘Wash’ unaoendelea kufanya vizuri, anatarajiwa kufanya show kwenye siku ya mwisho ya mwaka huu December 31, kwenye ukumbi wa King Solomon jijini Dar.
Kupitia akaunti yake ya Insta, Tekno aliyewahi kudaiwa kuwa na mahusiano na Agnes Masogange ameonesha...
10 years ago
GPL03 Jan
10 years ago
GPL01 Jan
10 years ago
GPL01 Jan
9 years ago
MichuziMKESHA WA MWAKA MPYA DMV WAFANA
10 years ago
Michuzi01 Jan
WATOTO 63 WAZALIWA MKESHA WA MWAKA MPYA 2015
Jumla ya watoto 63 wamezaliwa katika mkesha wa mwaka mpya 2015 katika hospitali za Temeke,Kinondoni pamoja na Ilala jijini Dar es Salaam.
Hospitali ya Temeke wamezaliawa watoto 19,Muuguzi wa zamu ,Rolester Kinunda alisema watoto 10 ni wakiume na tisa (9) ni wa kike na wazazi wa watoto hao wamejifungua salama na wameshapewa ruhusa .
Hospitali ya Amana Ilala watoto 21 wamezaliwa 11 wakiwa ni watoto wa kike na wakiume 10 na mapacha moja na kati ya watoto hao 21...